Goooosh, WHAT A LOSS!1...Pole mkuu sana!...KIBINADAMU HAYO NDO MANENO PEKEE TUNAYOWEZA KUKWAMBIA, HATUNA FARAJA ZA ZAIDI!...Bali Mungu wa Mbinguni ndiye atakayewafariji kwa upole zaidi na kuondoa upweke na hasara mliyopata!...Mwogopeni Mungu sana, na mzidi kutafuta sana siri ya ukuu wake...AMEN