Never swez kufanya hvyo,,coz najiheshimu na uzur niko sekta ya afya so najua adhari za kufanyafanya ovyoovyo magonjwa ni mengi xana including STIS and HIV
Umepona?Mpende Mungu muweza wa yote!!!!
jipende wewe kwanza ... achana kufikiria kupendwa hakupo
Magonjwa sio hayo tu. Kuna loss of dignity and pride as a woman. Hapo you will end up feeking worthlesa and retaliate against your fellow women who appear to have it all.
Soma kwanza
mi hapana kwakweli sitakubali
of coz hutakubali DIRECT but INDIRECTLY utakuwa upo na wenzako
wote mnapata huduma....
Jaman who is the best man for me?
Nimechoka kudanganywa Mungu nionyeshe mwanaume mwema.
Hadi kusoma nashindwa kisa mapenzi Mungu nisaidie.
Mume mwema hujui anatoka wapi au anapatikanaje?? Nenda maeneo ya ITM na Bank utwakuta waume wema kibao utachagua ama kuchaguliwa mwenyewe..Mume mwema anatoka kwa ITM Mke mwema anatoka kwa Mungu
sikubali directly.
Yeah still mdogo but siko under eighteen,,now nipo mwaka wa mwisho chuoo nursing,,,let me concetrate in studying kweli mapenz yapo tu
sijui nani kati ya voice au steve wonder something like that nimesahau ni kitambo sana
if am not mistaken ndo huyo huyo voice wonder ...nimpende nani mweenzenu naliaaa nifanye nini najifikiriaaa nilompenda mwanzo amenikimbiaa kisa masikini si ndo kanambiaa nitampa nini aatachoridhia( mengine nimesahau)
pole utapata .... subira yavuta heriJaman who is the best man for me?
Nimechoka kudanganywa Mungu nionyeshe mwanaume mwema.
Hadi kusoma nashindwa kisa mapenzi Mungu nisaidie.
Mpende Mungu muweza wa yote!!!!
Jaman who is the best man for me?
Nimechoka kudanganywa Mungu nionyeshe mwanaume mwema.
Hadi kusoma nashindwa kisa mapenzi Mungu nisaidie.