ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,146
- 7,683
jaman who is de best man for me????? Nimechoka kudanganywa daaah,,,eeh mungu nionyeshe mwanaume mwema..hadi kusoma nashdwa kisa mapenz daah mungu nisaidie,,,
omba sana usije kutana na tapeli...wanaume wana mbinu nyingi ukiingia kichwa kichwa unaeza kuwa hata watatu..
Relax,the time will tell.....
Nipende mimi.....huto umizwa huto lizwa,utasahau yote machungu ya kutendwa,na nitakufanya usome sana na ufaulu sanaa...u will never walk alone nitakuwa na wewe milele kama utakubali kunipenda na kuendana na mimi njoo kwangu nikupumzishe na mizigo ya machozi kudanganywa na kulia asema bwana wa majeshi
huwezi kushindwa kusoma eti kisa tu mapenzi, wakati huyo mwanaume/mwanamke umejuana nae juzi tu. kwanza mahusiano na mtu si kitu ambacho kilikuwa planned miaka mingi huko nyuma. mara nyingi hutokea accidentally tu. wakikuzingua we we wa-skip tu kama nyimbo husizozipenda
Jishughulishe kuitengeneza future yako kwa ajili yako. Wacha kuwaza vitu ambavyo haviendani na wewe kwa sasa....Kila kitu kina wakati wake..wakati wako wa kufanya hayo mapenzi utafika.
Mnajiachia ovyo then mnakuja kulalamika hapa. Tulia, acha kuendekeza mapenzi, soma. Mapenzi utayakuta huko uendako. Ukiyaendekeza saivi yatakukunai kabla ya wakati.
tumetofautiana huwezi jua....nakumbuka pindi nipo form 6 kuna mkaka alichizika kisa mapenzi .wote tulikua nao shule moja darasa moja ....mkaka alifikia hatua akawa anaongea pekeake
Nimpende nani nimpende eee eeeh,nimpende nani nimpendee aaah
Nikuwaga mpenzi...ananizingua.........
Naogopa sana vijana wa sasa kwenye mapenzi wasije wakanitenda............
Si unajua wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndo balaa...wengi wajanja watoto wa mjini wamejawa utapeli sanaaa...
sihitaji kuwa second wife for someone,,,,namtaka wa kwangu
Yeah still mdogo but siko under eighteen,,now nipo mwaka wa mwisho chuoo nursing,,,let me concetrate in studying kweli mapenz yapo tu
omba sana usije kutana na tapeli...wanaume wana mbinu nyingi ukiingia kichwa kichwa unaeza kuwa hata watatu..
tumetofautiana huwezi jua....nakumbuka pindi nipo form 6 kuna mkaka alichizika kisa mapenzi .wote tulikua nao shule moja darasa moja ....mkaka alifikia hatua akawa anaongea pekeake
Dah Mungu akupe nini tena wa kwako mimi hapa ukiwa nesi wa kila kwangu kwang itapendezasihitaji kuwa second wife for someone,,,,namtaka wa kwangu
niimbie ule wa voice wonder
mwaka wa mwisho nursing na bado hujajua umpende nani???