My girlfriend has a girlfriend

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,207
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
 
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..

Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..

Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..

Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.

Mhhhh! AD hii kali! Dunia yetu ya sasa Mhhhh! ina mambo ambayo kwa kweli ni ya kustaajabisha sana. Sasa huyu si ajabu anaweza kuamua kufunga virago ili akiishi na mwanamke mwenzake maana burudani ni zaidi ya ile anayoipata toka kwa mumewe!
 
Mhhhh! AD hii kali! Dunia yetu ya sasa Mhhhh! ina mambo ambayo kwa kweli ni ya kustaajabisha sana. Sasa huyu si ajabu anaweza kuamua kufunga virago ili akiishi na mwanamke mwenzake maana burudani ni zaidi ya ile anayoipata toka kwa mumewe!

Yaani huyo
hataki tena tendo la ndoa
Na mumewe.. haimfurahishi..dahhhh
 
Shetani ana nguvu sana mwambie huyo dada afunge na kufanya maombi maana atakapo angukia ni aibu kwa ndugu zake na mumewe na mtoto wao,
Halafu my dia jaribu kumuogopa kimtindo asije kukubaka bure.
 
hilo ni pepo, maombi ndiyo yatamuokoa. Asipofanya jitihada, ndoa yake iko shakani.
 
Afrodenzi ndio kwanza umeingia ofisini na stories za weekend? Kazi kwanza, tutaziongelea wakati wa break. Halafu angalia mafaili kama yapo kama ilivyoyaacha ijumaa b'se kuna watu wamepoteza kazi this weekend.
 
mhh...hii story ya wapi tena? huyo demu ni mtoto wa mchungaji? embu ni pm tu!
 
Shetani ana nguvu sana mwambie huyo dada afunge na kufanya maombi maana atakapo angukia ni aibu kwa ndugu zake na mumewe na mtoto wao,
Halafu my dia jaribu kumuogopa kimtindo asije kukubaka bure.

Daaahh
mpenzi MR
huyu kachanganyiwa na penzi la msichana
Mwenzie yeanatafuta njia ya kumwambia mumewe
anakwambia nilikuwa kipofu sasa nimeona..

Hahaha and
u don't need to worry bwt me lol
Hahahah lol
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.
 
Daaahh
mpenzi MR
huyu kachanganyiwa na penzi la msichana
Mwenzie yeanatafuta njia ya kumwambia mumewe
anakwambia nilikuwa kipofu sasa nimeona..

Hahaha and
u don't need to worry bwt me lol
Hahahah lol


Hahaha kazi ipo kweli hii ni laana duh Mungu tusaidie jamni mapenzi ya jinsia moja big NO!
 
Afrodenzi ndio kwanza umeingia ofisini na stories za weekend? Kazi kwanza, tutaziongelea wakati wa break. Halafu angalia mafaili kama yapo kama ilivyoyaacha ijumaa b'se kuna watu wamepoteza kazi this weekend.
My dear
matatizo ya maisha yanatokea
Saa yeyote haijali ni weekend au weekdays


Daahh hiyo avatar yako
Na maneno uliyoandika yamenishtua kidogo lol
 
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....

So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?

Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.
Daaahh
Welcome back NN.
so the guy should join the club mmmhhh

But what bwt the kid
And family a super Christian..
 
Mwambie huyo rafiki yako atafuta na ausikilize wimbo unaoitwa-My girl gotta girlfriend rmx by Ray Lavander feat Fabolous
 
Daaahh
Welcome back NN.
so the guy should join the club mmmhhh

But what bwt the kid
And family a super Christian..

The kid? They should just put him/ her to bed before they get their freak on. Simple as that.

And what is a super christian? Afterall, who said christians, whether super or not, don't get freaky?
 
Siku za mwisho zimefika si bure huyo rafiki ako ana mapepo wabaya sana anahitaji msaada wa maombezi
 
Back
Top Bottom