afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.