My future wife

My future wife

Hahaaaa my future husband niko nimetulia nakusubiria!!
 
Sijui future wife anafanya nini now?

Ohh yupo church ana omba na kufunga kwa ajili ya mume mtarajiwa na familia
 
😂😂😂 no mbili imenitoa kwenye qualifications.... Ngoja niendelee kuvuta mda na nilie nae
 
Ndio maana naipenda jf ucpofurahia posti utafurahia majbu ya watu ?????
 
My future wife usijali nipo namkunja mke mwenzio hapa

Hahahaaaaa! My future husband nami ndio nimetoka kukunjwa na mume mwenzio hapa!! Khaaah jf is never boring!
 
Hahahaaaaa! My future husband nami ndio nimetoka kukunjwa na mume mwenzio hapa!! Khaaah jf is never boring!

Umekunjwa namna hiyo best? 😉
 

Attachments

  • 1450466693401.jpg
    1450466693401.jpg
    13.5 KB · Views: 192
Yaani hii mikunjo mnayotukunjaga sio kabisa, kweli wanaume sio watu wazuri kabisaaaa!!

teh!teh!teh!Pole sana mkuu, ila kwa sisi wanaume mikunjo kama hiyo huwa inatupa tamu yote!!
 
Back
Top Bottom