Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,119
- 49,492
Very Good sasa hapo kwenye opposite reaction ndio watu hawaelewi kabisa, kwa kila jema unalofanya tegemea baya linalofanana na ukubwa wa wema uliofanya..
Ukimsomesha mwanamke tegemea kuumizwa saana baadae, ukiendekeza zawadi za mara kwa mara kwa mwanamke basi kuachwa ndio kunakaribia, ukimgonga kwa kumjali kama mke basi jua mabaharia watamgonga ovyo ovyo na atawapenda hao keep in mind this applies to both men and women mfano mwanamke ukimkubali mwanaume haraka na kumpa papuchi haraka kwa upendo basi kinachofuata kinajulikana in summary that is NEWTON’S THIRD LAW OF MOTION inavyotawala mahusiano ushauri wangu try to be unpredictable 🤝🤝
So women are always devils🤣🤣🤣🤣