My fiancee who was HIV+ now tested HIV-

Very Good sasa hapo kwenye opposite reaction ndio watu hawaelewi kabisa, kwa kila jema unalofanya tegemea baya linalofanana na ukubwa wa wema uliofanya..
Ukimsomesha mwanamke tegemea kuumizwa saana baadae, ukiendekeza zawadi za mara kwa mara kwa mwanamke basi kuachwa ndio kunakaribia, ukimgonga kwa kumjali kama mke basi jua mabaharia watamgonga ovyo ovyo na atawapenda hao keep in mind this applies to both men and women mfano mwanamke ukimkubali mwanaume haraka na kumpa papuchi haraka kwa upendo basi kinachofuata kinajulikana in summary that is NEWTON’S THIRD LAW OF MOTION inavyotawala mahusiano ushauri wangu try to be unpredictable 🤝🤝

So women are always devils🤣🤣🤣🤣
 
Very Good sasa hapo kwenye opposite reaction ndio watu hawaelewi kabisa, kwa kila jema unalofanya tegemea baya linalofanana na ukubwa wa wema uliofanya..
Ukimsomesha mwanamke tegemea kuumizwa saana baadae, ukiendekeza zawadi za mara kwa mara kwa mwanamke basi kuachwa ndio kunakaribia, ukimgonga kwa kumjali kama mke basi jua mabaharia watamgonga ovyo ovyo na atawapenda hao keep in mind this applies to both men and women mfano mwanamke ukimkubali mwanaume haraka na kumpa papuchi haraka kwa upendo basi kinachofuata kinajulikana in summary that is NEWTON’S THIRD LAW OF MOTION inavyotawala mahusiano ushauri wangu try to be unpredictable 🤝🤝
Akili kubwa sana mkuu
Binadamu ukiwa predictable watakutesa/take advantage of u/for granted

I agree..unpredictable or reverse psychology
 
True story..Same goes kwa wanaume
Wanaume sina uhakika sana but I really know how bad boys win women’s love and attention quickly while nice guys keep on crying 😭
Very simple being unpredictable, confident, showing masculinity, avoid being desperate basi wanawake watakuelewa tu
 
Wanaume sina uhakika sana but I really know how bad boys win women’s love and attention quickly while nice guys keep on crying 😭
Very simple being unpredictable, confident, showing masculinity, avoid being desperate basi wanawake watakuelewa tu
Hahah same story with women nakwambia..
Be the nice girl and u will remain a door mat..
Life is soo different when u live a bit different frm the shitty 'nice' norm

The difference is js being feminine about it..
 
Labda mimi nichangie hivi 'HAKUNA KITU KIITWACHO KIRUSI CHA UKIMWI'.

Na hakuna mwanadamu awaye yoyote aliyewahi kukiona, hata mvumbuzi wake hakuwahi kukiona.

Kuona kwamba hiyo haitoshi, HAKUNA KIPIMO AMBACHO KINATAZAMA HIKO KIRUSI, zote ni drama tu.

HIV ni biashara kubwa mnooo duniani.
 
Sijakupata vizuri mkuu naomba ufafanuzi zaidi, japo hata mimi nilimuuliza Daktari hakuna namna nyingine tunaweza kupima presence ya HIV mbali na hizi antibodies test, nakumbuka alinijibu ipo njia inaitwa PCR inatumiwa zaidi kwa watoto wachanga kucheck kama kachanga hako hakajapewa maabukizi na mama yake. Kwa maelezo yake alituambia yenyewe inacheck RNA/DNA ya virus moja kwa moja, Tunasubiri majibu hayo ya ELISA japo sikufurahishwa pia na hicho kipimo sababu nacho kina-rely on antibodies reaction.

JF Doctors mliobobea kwenye hili janga la HIV/AIDS karibuni mtupe elimu, We are confused!!
PCR inaangalia DNA na si antibodies
 
Hahah same story with women nakwambia..
Be the nice girl and u will remain a door mat..
Life is soo different when u live a bit different frm the shitty 'nice' norm

The difference is js being feminine about it..
Mmmh! I’ve to check you inbox someday this https://jamii.app/JFUserGuide is crazy huh!
 
Sasa kama ndo hivyo, kila mtu angekuwa anapewa majibu ya POSITIVE.

Kama hivi vipimo vya Qualitative, vinatumika viwili kwa mfuatano;Why?

Its Because kimoja kiko "Very Sensitive"" na Kingine kiko ""Very Specific""

Kipimo cha Kwanza ambacho ni Sensitive kikitoa majibu ya POSITIVE....Kinachukuliwa kipimo cha pili kuConfirm.

HomeWork: Soma maneno SENSITIVITY na SPECIFICITY.

UKIMWI upo, na Unaua.

Kipimo cha kwanza kimetoa Hiv+ cha pili kikatoa Hiv- mgonjwa napewa jibu gani Madaktari?
 
Kipimo cha kwanza kimetoa Hiv+ cha pili kikatoa Hiv- mgonjwa napewa jibu gani Madaktari?
Kuna algorithm inayofuata wakati wa kupima HIV. Huwa vinatumika vipimo viwili ili kupima HIV. KIPIMO cha kwanza huwa kina sensitivity kubwa ili kuhakikisha hakiachi mtu yeyote mwenye maambukizi. Iwapo kipimo cha kwanza kikiwa positive kinafanyika kipimo cha pili. Hiki huwa kina specificity kubwa ili kuhakikisha kinawabakisha wale ambao awana HIV. Hiki kipimo cha pili ndicho kinathibitisha kikiwa positive utaambiwa una maambukizi, kikiwa negative kinanulify kile cha mwanzo kwa hiyo unakuwa huna maambukizi
 
Hii ni kweli aiseee talking from experience ilishanikuta.
Unajua, kamuulize daktari yeyote kama amewahi kuwaona Virusi wa Ukimwi (Jibu ni HAPANA

Kwa hiyo wanajuaje kwamba huyu mtu ni HIV+, atakwambia wanapima ANTIBODIES.

Antibody ni sawa na walinzi/askari wa mwili ambao wanatengenezwa na mwili kama kuna VIRUSI ama BAKTERIA wameshambulia mwili.

Sasa Antibodies zikiwepo kwilini haimaanishi una HIV, Bali yaweza kuwa ni ugonjwa mwingine wa kawaida tu unaotibika kirahisi sana hata wakati mwingine Antibodies wanaweza maliza shughuli.

Ndio sababu utakuta mtu anaenda kupima Leo anaambia uko HIV+ akirudi baada ya muda Fulani anaambiwa uko HIV-.

Ni kwamba hakuna ugonjwa unaoitwa HIV wala Ukimwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom