My Ex Wife anateseka sana, nifanyeje?

Don't focus on what you don't want...

Ukipendi ktu usiwe unakiwazia automatic huwa kinaondoka....Sasa hupendi hcho kitu alafu unakiwazia afu uzuri unamke mwengne unapata wapi muda wa kufikiria huo ujinga badala ya mkeo wa Sasa...

Ata Mungu mwenyewe hawezi kumuhurumia mtu asie jihurumia yeye mwenyewe....wewe nani leo ujifanye unahuruma kiasi hcho,unachokitafuta utakipata mkuu....
Sure man,Najizuiaje nisimfikirie?Kuna namna ya kujizuia.Nipe mbinu hapa?
 
Kama utaamua kumrudia wewe ndiye utakuwa ulimkosea lakini kama sivyo achana nae kabisa
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Pia she is ur ex nothing will change eti ukimtafuta... Na pia unajuaje kama ana enjoy life inspite anayopitia? Kama angekua anakupenda angekujulisha acha kujiuliza maswali mengi hakuna kitu hapo kwamba atakua amekumiss?

Hujawajua wanawake wewe bado, ingekua amekumiss labda angeanza kukuweka karibu na mtoto uliezaa nae
 
We ni mwanaume, lakini una moyo wa kike. Mtu ambaye ametaka mwenyewe kuachana na wewe, na kwenda kwa mwingine, ambaye pamoja na manyanyaso yote lakini bado hataki kuondoka kwenye mahusiano hayo, then wewe ndio umuonee huruma kuliko yeye mwenyewe kujionea huruma?

Nikwambie tu, hiyo ni difence mechanism inakufanya ujisikie unamuonea huruma, but in reality bado unampenda na huelewi imekuwaje pamoja na wema na mapenzi yote uliyompau, but amekuacha na kwenda kwa huyo anayemnyanyasa.

Acha kumfikiria, angalia maisha yako na familia yako, usipokuwa makini unaweza kujikuta unashindwa kukaa na mkeo, huku huyo unayesema ananyanyasika akiendelea kudumu kwenye ndoa yake.
Umefanya kama vile kuwa na moyo wa kike ni TUSI.Ila kwa jinsi nilivyokuelewa ina maana I am not over her yet.So HOW do I get over her.
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Pilipili ya shamba yakuwashia nini mjuba ?
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Acha kujiuliza maswali mengi mliachana na kila mtu anasonga na maisha yake, unavyomuwazia huyo uliemuacha je ulishawahi kuliwazia la huyo uliokua nae ambae humpi attention kubwa kama ex wako? Kwa ufupi umefeli na kwa hili ndiyo maana hata ex wako hakuamini hata kidogo
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Kwanza fikiria,je ingekuwa ni wewe ndio huyo mwanaume halafu kuna mwanamme,mwingine anakufanyia huu mpango uachane na mke wako,wewe ungejisikiaje?,
Kabla ya kuchua hatua fulani,mfikirie huyo mwenzio unayetska kumfanyia huo ujinga
 
Pia she is ur ex nothing will change eti ukimtafuta... Na pia unajuaje kama ana enjoy life inspite anayopitia? Kama angekua anakupenda angekujulisha acha kujiuliza maswali mengi hakuna kitu hapo kwamba atakua amekumiss?

Hujawajua wanawake wewe bado, ingekua amekumiss labda angeanza kukuweka karibu na mtoto uliezaa nae
Uko sahihi sana.Nakubali mimi ndio mwenye matatizo so how do you FIX that.How do I get over her?
 
Acha kujiuliza maswali mengi mliachana na kila mtu anasonga na maisha yake, unavyomuwazia huyo uliemuacha je ulishawahi kuliwazia la huyo uliokua nae ambae humpi attention kubwa kama ex wako? Kwa ufupi umefeli na kwa hili ndiyo maana hata ex wako hakuamini hata kidogo
Niliye naye tuko sawa.I am doing my best BUT how do I get over this?
 
Shinda kwanza mechi zako mkuu, Mambo ya kuchungulia mapambano ya wenzako utashtukia huyo mtu wako mpya naye anapelekeshewa 'mkuyenge' na wahuni.
 
Kwanza fikiria,je ingekuwa ni wewe ndio huyo mwanaume halafu kuna mwanamme,mwingine anakufanyia huu mpango uachane na mke wako,wewe ungejisikiaje?,
Kabla ya kuchua hatua fulani,mfikirie huyo mwenzio unayetska kumfanyia huo ujinga
Sina mpango wowote ninaofanya.Ila taarifa hio imeniathiri najihisi kwamba natakiwa nifanye kitu kwa ajili yake.Na sipendi hio feeling given our history
 
Mtu anatumia kilicho shindikana wakati wake kwa matatizo ayapatayo hasimu wake leo kwa mwingine...

Ni kukoswa akili tu..

Wewe unadhani ndio the best person on this world sababu tu huyo aliekuacha anapata matatizo sasa hivi?

Ungekua the best kama unavyojifaragua hapa huyo mwanamke asingekuacha to begin with...

Kuna sababu kwanini alikuacha,na funny enough huenda ikawa sababu tofauti kabisa na hii uliyotoa hapa wewe,maana hii ni wewe umeona kwa macho yako ila muhusika huenda akawa na other reasons contrary to wewe!

Acheni kujiona wa maana sababu fulani aliekukataa anapitia mitihani yake....no,you are not,you are just lame ass motherfvcker like the rest of all of us!
Dah
 
UtaVunja Unyumba Wa Watu, Wenyewe Wanaishi Vema Pamoja Na Kipigo Hujaombwa Lolote, Halafu Inaonekana Tangu Uachane Naye Unamfuatilia Bila Shaka.



Utamsaidiaje Mtu Ambaye Hajakuomba Msaada
Hata Kama Anaumia Yupo Kwake!!!!
Tulia Kwako
 
Kwa miaka kadhaa iliyopita nilikuwa na mahusiana na mwanamke ambaye tulitokea kupata mtoto mmoja.Kutokana na saabu mbalimbali ikiwamo hali ngumu ya kiuchumi na changamoto nyingine za kimahusiano.Uhusiano wetu ulivunjika na Mwanamke akampeleka mtoto kwa BIBI yake na kisha akaolewa na yule bwana ambaye alikuwa sababu ya uhusiano wetu kuvunjika pamoja na madhaifu yetu.

Hata hivyo watu waliokuwa wanafahamu kuhusu uhusiano wetu walijaribu kuturudisha pamoja lakini mwanamke huyu alikataa kata kata kwa sababu mbalimbali.

Sababu ya kuandika uzi na kutaka ushauri wenu.NIFANYE NINI?
Kwa mujibu wa taarifa nilizopata huyu EX wife anapitia kipindi kigumu sana kwani uhusiano aliopo sasa ni very abusive(KIPIGO,MANYANYASO etc) Mateso anayopata ni ma,kubwa ila pamoja na hayo bado hatoki katika uhusiano(Binafsi nafikiri ni kwa sababu ya Majuto na kufikiri kwamba anastahili adhabu anayopata kwa sababu ya aliyofanya nyuma)

Pamoja na hayo yote nimejisikia kuumia sana baada ya kupata taarifa hizo ingawa sina ushahidi.Kuna uwezekano wa kumuona na kuzungumza naye ingawa binafsi nachelea kufanya hivyo hasa kutokana na mamao aliyonifanyia na pia kuepuka kuvuruga uhusiano wangu wa sasa.Baada ya kuachana naye alininyima access ya mtoto na hivyo taarifa za Mtoto nazipata kupitia kwa mdogo wake ambaye huwa ana namba yangu.

Tangu nipate habari hii nimeumia sana,nimetumia muda mwingi kusali ni kumuoma Mungu amsaidi lakini bado nakuwa na msongo wa mawazo kwa sababu yake.Hali imeathiri sana mambo yangu mengine.Nashindwa kuelewa ni kwa nini inakuwa hivi.JE NIFANYEJE ILI NIMTOE KATIKA UHUSIANO HUU IWAPO NI ABUSIVE.Je kwa nini nimekuwa na maumivu makali kwa sababu ya mateso yake?Je ni kwamba ninampenda au ni mimi tu nina matatizo yangu.

Tupeane ushauri juu ya nini naweza kufanya ili kuepuka msongo na mambo mengine ambyo naweza fanya katika hali kama hii.
Wacha Kesho ijihangaikie yenyewe !!.


Namaanisha ivi, jambo pekee na la msingi niwewe kuhakikisha kua kipigo anachopewa hakiathiri mtoto wako.


Haya ukimuachisha Ndoa ,utamuoa??? Unacheza na akili za wanawake????... Anaweza pigwa mpka pua ikaamia kisogon lkn asiondoke!!!.


Huyo sio mtoto, Sio kwamba hana akili. Ile akili alotumia kukuacha sababu ya uchumi. Ipo siku ataitumia kumuacha alonaye sababu ya kipondo.


Ili mradi wee hukuwa chanzo cha kumuacha, basi acha kujijutisha namna hiyoo Jombaaa .


Hata Zubeda wa Prof J, kile kipindi alimkimbia Jamaa, akapata mimba huko kwa viwanjax wahuni wakamtema, mwisho akarudi kwa prof J, J ameshaoa na anawatoto... Wee uliona Prof J anawaza km wewe????? Basi fanya km Prof J alivofanya




Fungua Moyo wako na Umsaidie siku ile tu atakapohitaji msaada wako.
 
Hujakoma tu! Mrudie uone mziki wake hawa Binadamu ni wa kuangalia kwa mbali tu.Mungu amekusaidia wewe endelea kula bata na maisha yako Dunia ni katili sana wewe jipendekeze tu
 
Wacha Kesho ijihangaikie yenyewe !!.


Namaanisha ivi, jambo pekee na la msingi niwewe kuhakikisha kua kipigo anachopewa hakiathiri mtoto wako.


Haya ukimuachisha Ndoa ,utamuoa??? Unacheza na akili za wanawake????... Anaweza pigwa mpka pua ikaamia kisogon lkn asiondoke!!!.


Huyo sio mtoto, Sio kwamba hana akili. Ile akili alotumia kukuacha sababu ya uchumi. Ipo siku ataitumia kumuacha alonaye sababu ya kipondo.


Ili mradi wee hukuwa chanzo cha kumuacha, basi acha kujijutisha namna hiyoo Jombaaa .


Hata Zubeda wa Prof J, kile kipindi alimkimbia Jamaa, akapata mimba huko kwa viwanjax wahuni wakamtema, mwisho akarudi kwa prof J, J ameshaoa na anawatoto... Wee uliona Prof J anawaza km wewe????? Basi fanya km Prof J alivofanya




Fungua Moyo wako na Umsaidie siku ile tu atakapohitaji msaada wako.
Mkuu,Prof Jay alifanyaje?Aliwezaje?Is there some therapy or method of ignoring your feelings?
 
Back
Top Bottom