My EX (kisasi kwa njia ya ujasusi)

My EX (kisasi kwa njia ya ujasusi)

Dogo hiyo chai uliyoandika
Habari za wakati huu wapendwa?,
Poleni na shughuli za unjenzi wafamilia bora!

Nielekee moja kwa moja katika mkasa wng huu..
Miaka 20 nyuma nikiwa form 1 nilimpenda mwanafunzi mwenzangu Ila kwa bahati mbaya kwangu nzuri kwake alinikataa, katika darasa ilo Ilo mkondo huo huo nilipendwa na mabint wengi sana Ila mmmoja alifanikiwa kunipata, nilianzisha mahusiano nae, ila nikili alibeba maumivu makubwa sana kwsbb Nilikua Nam chit waz waz na kumuingiza ktk visanga vizito sana, tulipofika kidato cha 3 Uyu ex na Yule binti niliempenda mwanzo wakawa marafiki wakubwa japo toka nilivokataliwa skuwahi kuongea na Yule Bint nilimchukia sana Ila walipokuwa marafiki niliona haina haja yakuendelea kumkaushia ivo nikawa namsalimia na nots namuomba,ukaribu ukaanza kurudi kidogo, Nilikua mtundu sana shuleni Kiasi Kila mwalimu alinijua na kunifatilia, Nilikua na madem kwanzia darasa lang had form 6, ! Mambo yaliendelea kawaida hatimae tukamaliza form 4..
Nakumbuka ile sku tunajaza form za kuchagua comb na shule Yule Bint alikuwa nyuma angu baada ya lile zoez niligeuka nyuma na kuomba # bila kuchelewa nilipewa haraka...nilifurahi sana na kujiona nabahati sana..tulianza mawasiliano ya Yule binti, mara zote alikua anaanzisha conversation yeye,asbh,mchna na jion..nilifurahi sana..ndan ya miez 3 nilianchana na ex wng Ila skuwa najua km alimwambia Yule binti km tumeacha,maisha yaliendelea, skuwa nimemtongoza Yule Bint Ila ukaribu uliongezeka zaid,matokeo yakatoka, Yule Bint akaniomba nimtizamie alikuwa amefaulu vizur kunizid mimi na ex wng,japo ex wng alipata daraja la 4, skuwa na habari tena na ex wng...hatimae cku moja asubuhi mapema naamshwa na Sim, Kumbe Yule Bint anapiga na kunambia selection zimetoka tumechaguliwa shule moja..niliona Huyu mwanamke Yupo kwenye Maisha yng..tukaanza form 5, ila ex wng Alienda mkoa Mwingine kusoma sijui alisoma nn.
Tukiwa form 5 Kuna mdada alimfuata Yule Bint na kumwambia ananipenda (nikili Huyu mdada alikua pini sijawahi kuona) skuwa na kipingamizi nianzisha uhusiano na Uyu niliekutananae form5 Ila aliniweza, nilimpenda sana japo mahusiano hayakuwa mazuri kwa muda wote mpka chuo mwaka wa 2 tuliachana rasmi..uyu Bint niliendelea kuwa na ukaribu zaid Kuna muda Tulikuwa km wapenzi kwa kipindi chote cha advance Ila haikuwa ivo ,,hatimae nikachaguliwa jkt..nikaenda alikuwa ananipigia Sim Kila cku kujua naendeleaje mpka coz ilipoisha,cku moja aliomba tukutane mjini akiwa na ex wng,nikamwambia km uko na uyo mtu hatuwezi kuonana,akanijib Zaman ilikuwa yy (akimaanisha ex wng) Ila saiv ni yy(yan Yule bint) Bhasi Alienda chuo mapema maana tuliomba vyuo tofauti na mm ulipofika mda nikaenda..mawasiliano yalizid tulipanga vingi sana, nikajikuta stamani tena ile tabia ya wanawake hivyo nilianza kuwakataa wengi niliotokanao advance,nilianza kumpenda rasmi Uyu Bint bila kumwambia, nilianza kujiaminisha pengine Huyu Ndio nilienae kwenye Maisha yng..2018 mwanzon haukuwa mzuri tuligomba gombana Ila mimi bado nilikuwa kwenye mahusiano na G Mwingine nilieahid ad kumuoa..hatimae tulupomaliza chuo nikamtafuta japo 2018 wasiliano yalipungua mno, 2019 mawasiliano yalirud km Zaman .kuna mapenzi makubwa katikat yetu..ananijua vizur, anaijua familia yng hasa,na mimi ivo ivo,Nataka kumfanya mke kabisa Ila Kuna sku nililala nikaota kuwa Yupo kwenye mahusiano na kk wa ex wng ambae ni Yule rafik ake,,nikamuuliza akanambia Ni kweli -rafikiake kwa kipind chote amekuwa anamshawishi amkubali Kaka yake Ila yy hakuwa tayar aikapelekea had hawaongei vizur, shida hii ndoto inanambia Uyu binti atakubali na mimi naumia nikama inanipa onyo Uyu binti Si wng...

Ikumbukwe mpka Leo cjamwambia kuwa nampenda...Ila nilimwambia Nko tayar kukuoa, ,na alionesha yuko tayar kabisa kuwa mke wng ...na hapo nilianza kuwa serious kumpenda na kumwangaikia hasa mpka akapata kazi..

Sasa hapa ninamgogoro wa nafsi, niachane nae au niendelee maana ni mtulivu na anajiheshimu sana na mimi ndoto zangu huwa zaukweli..Ex mpka saivu yuko kwenye process yakumtoa Uyu mtoto kwangu na kumpa kk ake.
Hiyo Chai hata majani haina, miaka 20 iliyopita means 2000, ukaenda JKT baada ya F6 maana yake unadanganya waziwazi, Mara umemaliza Chuo 2018/19 wewe miaka yote hiyo ulikuwa unasoma bila kumaliza shule na Chuo?
 
Joanah naomba ukimalizana kusoma hii unipe summary.

Kiukweli nimesoma yote na sijaelewa chochote.

Siburi nikupe sammary ya hii chai mkuu...miaka ishirini iliyopita kutoka 2020...itakuwa ni mwaka 2000/1 ndo alikuwa form one hali huyu mzee wa chai ya maziwa...alikuwa anapendwa sana na mabinti...lakin yeye alikuwa anampenda manzi moja hivi pini kinyama lkn manzi kama ilikuwa hamuekewi...na anakiri alikuwa kicheche mno...form 4 wakamakiza kati ya 2004/5 wakamaliza form 6 kati ya mwaka 2007/8 akaenda JKT kwa kama ilivyo ada. Ila kwa upande wangu cjui kama hii mwaka kulikuwa na hii utaratibu ama ni chai...wakaenda chuo..though vyuo tofauti...wakamaliza wa kwa wanapendana na mipango mingiiiiiii...wakatibua hapo katikati...wakakutana tena 2019 mwaka akiwa kwenye mahusiano mengine....hakafu akaota ex wake wa form 1 miaka hiyo 2000/1 anamkuwadia mpenz wake kwa kaka yake..na alipomuuliza manzi anakiri ni kweli...

Mwisho wa siku anaconclude huo manzi hata kumwambia anampenda hajawahi kumwambia..japo wapo kwenye mahusiano..ambapo kiuhalisia ni chai...

Yupo njia panda hajui afanye nini...movie inaisha ex wa form one anamfanyia ujasusi..😂😂😂😂😂😂😂....

Kumbuka wote watatu kama mwaka 2000/1 walikuwa form one by that time walikuwa kati ya umri wa miaka 13-15...so mpaka sasa hivi wana umri wa kati ya miaka 33-35....
CHAI NDANI YA UZI NI IPI???
kuwa kwenye mahusino for 20 bila kutongoza
Kwenda jkt kati ya mwaka 2007/8
Kuota demu wake ambaye hata kumtongoza haja mtongoza anaolewa
Inakuwaje binti wa umri huo bado hajaolewa
Tukio la ex kuwa jasusi wakati simuoni akifanya hivyo kwenye UZI
 
Miaka 20 nyuma mlikuwa mnamiliki simu? Nakumbuka kipindi kile simu zilikuwa philips, simen n.k tena ziliuzwa bei mbaya


Sent from my iPhone using JamiiForums

Hiyo ndo huwa tunaita chai ya maziwa
 
Siburi nikupe sammary ya hii chai mkuu...miaka ishirini iliyopita kutoka 2020...itakuwa ni mwaka 2000/1 ndo alikuwa form one hali huyu mzee wa chai ya maziwa...alikuwa anapendwa sana na mabinti...lakin yeye alikuwa anampenda manzi moja hivi pini kinyama lkn manzi kama ilikuwa hamuekewi...na anakiri alikuwa kicheche mno...form 4 wakamakiza kati ya 2004/5 wakamaliza form 6 kati ya mwaka 2007/8 akaenda JKT kwa kama ilivyo ada. Ila kwa upande wangu cjui kama hii mwaka kulikuwa na hii utaratibu ama ni chai...wakaenda chuo..though vyuo tofauti...wakamaliza wa kwa wanapendana na mipango mingiiiiiii...wakatibua hapo katikati...wakakutana tena 2019 mwaka akiwa kwenye mahusiano mengine....hakafu akaota ex wake wa form 1 miaka hiyo 2000/1 anamkuwadia mpenz wake kwa kaka yake..na alipomuuliza manzi anakiri ni kweli...

Mwisho wa siku anaconclude huo manzi hata kumwambia anampenda hajawahi kumwambia..japo wapo kwenye mahusiano..ambapo kiuhalisia ni chai...

Yupo njia panda hajui afanye nini...movie inaisha ex wa form one anamfanyia ujasusi..😂😂😂😂😂😂😂....

Kumbuka wote watatu kama mwaka 2000/1 walikuwa form one by that time walikuwa kati ya umri wa miaka 13-15...so mpaka sasa hivi wana umri wa kati ya miaka 33-35....
CHAI NDANI YA UZI NI IPI???
kuwa kwenye mahusino for 20 bila kutongoza
Kwenda jkt kati ya mwaka 2007/8
Kuota demu wake ambaye hata kumtongoza haja mtongoza anaolewa
Inakuwaje binti wa umri huo bado hajaolewa
Tukio la ex kuwa jasusi wakati simuoni akifanya hivyo kwenye UZI

Shukranu mkuu, mimi nimetoka empty
 
Back
Top Bottom