Hahahaa haaaa
Umeona eeh
Pacha huyu.kwani yako ndo ulivyo?@mwekundu
we muache next time atashindwa kutoka na single nyingine maana uongo wake tumeshamgunduaile ya singo ya kutahiriwa ameipumzishaa
Uongo uko wapi hapo, kama huna msaada pita kimyakimya
Mkuu ukipita kimya hupungukiwi kitu .
Huyo ndo Gogle mzee wa visa vya uongo
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.
Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.
Nifanyeje?
Nenda google utapata jibu..
mwite muulize anataka nini?
we hujaendelea kumfuatilia huyo demu baada ya kuolewa kweli? Maana kwa nn atake kukupoteza?!
Ni kweli nilikuwa nabofya Mara moja moja, Lkn muzee ya sembe hajashtukia, inaonekana bifu ni kwasababu mkewe hashiki tena mimba na anaona Mimi ni chanzo
Just google, uncut men are gud on bed. Ni wale tu wasiojua.
Mkuu, ujasiri utatoka wapi kupambana na mtu mwenye pesa. Yasikie kwa mwenzio wala si kwako.
Juzijuzi my bro katoka gerezani kwa kesi ya kusingiwa kuua kwa kisa kinachofanana kwa karibu na hiki.