My ex gf's husband ananitishia maisha

My ex gf's husband ananitishia maisha

Pole kwa kumiliki msichana mrembo huku ukiwa huna ukwasi, chamuhimu we kachukue RB hafu inabidi uwe jasiri, unajua ukiwa mnyonge atakuonea sana. usiogope hata kupishana nae barabarani.

Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.

Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.

Nifanyeje?
 
haya bana.. ngoja nijisomee haka kakichekesho kwanza!!

Mkeo na mama yako mzazi wana safiri pamoja kwa gari ulilo mnunulia mkeo bahati mbaya wanapata ajali mbaya na wote wanapelekwa hospital wakiwa mahututi.

Doctor anasema hawawezi kupona isipokua kama watabadirishana vichwa chamama kiende kwa mkeo na chamkeo kiende kwa mama.

Operation inafanyika na wanapona vizuri kabisa.

Umeenda kuwachukua hospital, je! nani utampeleka kwa baba na nani utamfanya mkeo?

haya sasa!!

Hahahaa haaaa Uwiiiiiiii
Hii kweli kali
 
haya bana.. ngoja nijisomee haka kakichekesho kwanza!!

Mkeo na mama yako mzazi wana safiri pamoja kwa gari ulilo mnunulia mkeo bahati mbaya wanapata ajali mbaya na wote wanapelekwa hospital wakiwa mahututi.

Doctor anasema hawawezi kupona isipokua kama watabadirishana vichwa chamama kiende kwa mkeo na chamkeo kiende kwa mama.

Operation inafanyika na wanapona vizuri kabisa.

Umeenda kuwachukua hospital, je! nani utampeleka kwa baba na nani utamfanya mkeo?

haya sasa!!

Mkuu, hii post yako ungeianzishia sredi kule chit chat, hapa naona unachanganya madesa, Samahani Lkn Kama nimekukwaza
 
Jamani eeeeh, mbavu zangu! mbavu zangu jamani!
 
gogle,au jamaa kasikia umetahiriwa kahisi mke wake atakuletea tena papuchi yake aonje iliyotahiriwa?
 
Uongo uko wapi hapo, kama huna msaada pita kimyakimya
Achana naye mkuu, anataka kuharibu.
Kwa ushauri wangu
1. Ripoti polisi, baada ya hapo
2. Hama hapo ulipo ili uweze kuokoa uhai wako, mtu mwenye pesa huwezi shindana naye.
3. Inawezekana anatafuta mtoto na kaambiwa na mganga wa kienyeji we ndo uliyemroga huyo mwanamke, kwa sura hiyo kaa karibu na Mungu wako.
 
Pole kwa kumiliki msichana mrembo huku ukiwa huna ukwasi, chamuhimu we kachukue RB hafu inabidi uwe jasiri, unajua ukiwa mnyonge atakuonea sana. usiogope hata kupishana nae barabarani.

Mkuu, ujasiri utatoka wapi kupambana na mtu mwenye pesa. Yasikie kwa mwenzio wala si kwako.
Juzijuzi my bro katoka gerezani kwa kesi ya kusingiwa kuua kwa kisa kinachofanana kwa karibu na hiki.
 
Ni kweli nilikuwa nabofya Mara moja moja, Lkn muzee ya sembe hajashtukia, inaonekana bifu ni kwasababu mkewe hashiki tena mimba na anaona Mimi ni chanzo

Mkuu hapo umeharibu, wanawake wa siku hizi loh!!!
 
Haya uliyoyaandika hapa kayaripoti polisi kwa msaada zaidi
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.

Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.

Nifanyeje?
 
Nadhani kwa sababu unasema akiamua kukubambikia kesi ya sembe anaweza, tusubiri tuone kama ataweza. Jamaa ana ushawishi aisee, yaani kakupokonya mwanamke na mimba? Mi nimemuogopa
 
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.

Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.

Nifanyeje?

Hekaya za abunuwasi hizi
 
Ngoja nazifanyia utafiti habari zako kabla sijarudi kumkamata mtuhumiwa...najua yupo humu humu ndani kakausha..

"Nlikuwepo":bolt:
 
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.

Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.

Nifanyeje?

Kwani huko kwenu ngumi huwa mnaziacha stoo.!?? Ukiendelea kulegea atakupa mimba wewe umzalie..
 
Back
Top Bottom