kimugina
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,142
- 577
sasa mkuu kama ni wewe ungefanyaje aisee!!
baba anataka mkewe, na wewe unataka dem wako, next week ni harusi!!
We ungefanya aje kwanza???
Jibu lako ndio langu Mkuu
sasa mkuu kama ni wewe ungefanyaje aisee!!
baba anataka mkewe, na wewe unataka dem wako, next week ni harusi!!
We ungefanya aje kwanza???
Jibu lako ndio langu Mkuu
I forgot stupid can't be fixed.
My step mom used to call me "nunda"
Huyo ndo Gogle mzee wa visa vya uongo
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.
Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.
Nifanyeje?
we hujaendelea kumfuatilia huyo demu baada ya kuolewa kweli? Maana kwa nn atake kukupoteza?!
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.
Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.
Nifanyeje?
Ni kweli nilikuwa nabofya Mara moja moja, Lkn muzee ya sembe hajashtukia, inaonekana bifu ni kwasababu mkewe hashiki tena mimba na anaona Mimi ni chanzo