Gogle
JF-Expert Member
- Feb 26, 2013
- 1,495
- 871
Salaam wakuu, mimi ni Yule yule wa kanaida.
Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.
Nifanyeje?
Huyu jamaa alinichukulia demu niliyekuwa nae kwenye uhusiano kwa miezi 18, alimdanganyadanganya na hela yake ya sembe, akamshawishi aitoe mimba yangu ili amuoe, demu akaingia kingi, akaitoa akaolewa, hiyo ni karibu miaka minne iliyopita, ndio nikaamua sitaki tena mke kwenye maisha yangu.
Hivi karibuni jamaa alienichukulia demu naona amezidisha chuki dhidi yangu, ananifanyia vioja kibao. Za chini ya kapeti zinasema kuwa kutokana na makosa ya kidaktari yaliyotokea wakati wa kutoa mimba, demu hawezi tena kushika mimba, jamaa anapanga kunibambikia kesi ya sembe, na jamaa Ana mkwanja mrefu, akiamua anaweza.
Nifanyeje?