My ex boyfriend ananitaka tena

My ex boyfriend ananitaka tena

 
Last edited by a moderator:
Take time to find uaself first

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua yule rafk yangu ni muongo,na mimi nimefikia muda wa kuolewa nifanyeje na mchumba sijampata?
Don't go back .value yourself before somebody values you.Dont settle go less and a lot of men of different color .using'ang'anie wabongo .Tafuta ng'ombe aliyenona
 
Unaposema muda wa kuolewa umefika unamaanisha nini? Hakuna muda muafaka bali kuna mtu muafaka.
Dating your ex is same as watching the same movie over and over again. You know the end before it starts.
 
pole mdada,
lakini kuna ukweli kua kama ulimpenda kwa dhat naye akakupenda ila alisjhawishiwa na rafiki yako huwez jua alimpa sumu gani hadi akakupindua ,ctaki kuwatetea lakini naamini wanaume ni dhaifu .Hivyo kwa sasa labda jamaa kajitafakari na kugundua makosa aliyofanya ,
ushauri wangu muulize kama kweli bado ana penzi la dhati msameheane under one big condition ni yeye kuprocess ndo kama bado yupoyupo sana achana nae atakua anatafuta kiburudisho tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.na ujifunze kumsahau
 
kwenye mahusiano lazima kujifunza kusameheana. Naamini jamaa atakuwa amekuomba msamaha! Ila haina maana ya kuwa ukimsameke mtu umekuwa mtumwa wake, cha msingi ni kuhakikisha unajilinda ili tatizo lile lisitokee tena ingawa si rahisi sana kujua nia halisi ya huyo jamaa. Nakushauri uchukue muda ili ujiridhishe kama kweli amebadilika na kama anakupenda kwa dhati. Nakushauri Usimpe K yako kwa kipindi hicho chote mpaka mfunge ndoa! UTAWEZA? naye ATAWEZA? Kazi kwenu....Ila utayari wako wa kutaka mchumba/mume usiwe daraja la kumkubali kila ajaye kwako....
 
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua yule rafk yangu ni muongo,na mimi nimefikia muda wa kuolewa nifanyeje na mchumba sijampata?

mimi binafsi I do not believe in 'BABY COME BACK" kama ilivyongumu kumeza matapishi ndivyo ilivyo ngumu kurudiana na mpenzi wa zamani na haswa huyo aliyekuacha kwa ajili ya rafikio. imi sikushauri urudiane nae, hatakawia kukugeuka tena, lakini mnaweza kuwa marafiki wazuri tu lakini si wapenzi .
 
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua yule rafk yangu ni muongo,na mimi nimefikia muda wa kuolewa nifanyeje na mchumba sijampata?

olewa naye kama una haraka sana!
 
Zedicus mbona wanifanyia roho mbaya, mwenzio nimetambua umhimu wake thus y narudi mzima mzima! Madam s mbona wanishitaki kwa uma na hali hawajui tuliko toka! Madam naahidi mbele ya Critical thinkers stokutenda tena!
 
habar wadau.naombeni ushauri nilikuwa na boyfriend wangu lakini 2liachana yapata mwaka sasa na akawa na uhusiano na rafiki yangu,sasa ananipiia cm anaomba 2rudiane nae kwa madai kuwa amegundua yule rafk yangu ni muongo,na mimi nimefikia muda wa kuolewa nifanyeje na mchumba sijampata?


Always kurudi kwa X-Friend tena aliyekuacha kwa sababu yeyote ile.... then anakubembeleza mrudiane its a deadly mistake,nashauri msahau,atakuumiza second time na unachotegemea hutapata......kama ni ngumu mpime kwa vigezo vyote....kikubwa zaidi ni nini kilisababisha akakukimbia...makosa yalikuwa yako ama yake ama mlichangia udhaifu huo wote wawili....zaidi unakula matapishi ya nini, kweli gals mna shida sana ya maamuzi
 
Njoo kwangu nikuoe huyo jamaa achana nae asijekutosa tena!!
siujua hata nyerere alipozungumzia dhambi ya kula binadamu ukianza huwezi acha
 
Nakushauri mchunguze jamaa kama kweli anajutia makosa aliyoyafanya!Ukijiridhisha nakushauri umkubalie mrudiane maana hajiulizi kwako alisahau nini mpaka arudi mara ya pili wakati anakujua wewe kutokea utosini mpaka unyayoni!Kwa mtazamo wangu nahisi ni kweli jamaa yupo real!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom