Unajua kwenye dunia ya sasa watu wengi sana wameharibika, hii inasababisha hata wale walio wema yamkini kujumlishwa katika wale walio wabaya. Lakini hata Mungu alipotaka kuiangamiza Sodoma na Gomora alisema hata angekuta wachache tu basi asingeangamiza, bahati mbaya alikuta mmoja tu. Naamini katika wale wenye vigezo hivi wapo wengi sana na zaidi wakawa na sifa nyingine za ziadaUsikate tamaa hata ukifikisha 50 yrs waweza kumpata mwenye vigezo hivi. Inabidi kuwe na sala maalumu ya kuombea vigezo kwa Mungu.
We huoni kama tukikutana then tunafanya matching items halafu mambo yanakuwa poa?
"If you haven't achieved your dream, don't wake up so you can keep dreaming" Navuta shuka.......
[bora kukkosea kujenga nyumba kuliko kukosea kuoa/ kuolewa]
Iraki Girl??
Happy to hear that Desi!Hujakosea ....
Happy to hear that Desi!
Nimekuwa nawaza sana what kinda woman if I have her then wengine watalazimika kutumia nguvu kubwa sana kunifanya nichepuke.
Nadhani nimeweza kumjua na kama ningekuwa najua kuchora kama zamani basi ningemchora ili nimesahau kuchora siku hizi.
Ila hivi ndivyo ningependa muonekano wake uwe; Awe na urefu wa kati ya 5.5 - 5.6 ft hii itamruhusu hata akivaa high heels then tunaendana, awe na light skin (sio mweupe), asiwe mnene wala mwembamba (ukinenepa na manyamanyama nakuacha), awe na kijungu cha kiafrika (this is very important) asiwe mpiga mizinga ya kijingajinga (Najua jukumu langu la kumhudumia tatizo ni mizinga ndio sitaki ile ya kijingajinga) so kama nitampata wa hivi then sitachepuka. Ah nilikuwa nimesahau sifa nyingine kubwa, awe na sura yenye mvuto kuliko mimi sio tukikatika vichwa na mi nimenyoa ndevu basi watu wadhani mi ndio mwanamke.
Basi ndio hivyo..
Nawe una nywele za kisomali?
Naweza kufuta vigezo vyote then i come for u?
Shida ikaah, aning'i kaangu iraqwu na thau......Naasi loale Garma.... ( Asante sana kijana) 🙂
Mkuu komaa ung'oe mtoto huyo....Nawe una nywele za kisomali?
Good for you,.....All the best ndgTena bila shaka maana ugumba haupo kwenye vigezo nlivyotaja
Shida ikaah, aning'i kaangu iraqwu na thau......