Hahahahaa huko Manyara kwenu nilikuwepo last year asee kuanzia kwa wasai, waarusha, wamang'ati, wairaq, wanguu, wagogo, wahunzi na wengineo weeengi afrodenziHahshahahah lol
Kwetu Manyara. My dear kila mtu ana dream kuhusu
Mpenzi wake awe vipi .. endelea kutafuta lakini not for too long.
Usije kuwa babu miaka 60 bado unasubiri tu .🙂
Hahahahaa yaani nimesoma hii post yako nikacheka kwa nguvu kweli yaani uuwiii! Jamani hebu rudieni kuzisoma hizo sifa nilizosema hapo juu wala sio za hao watu mnaowafikiria jamani. Nimesema najua jukumu langu la kumuhudumia ila sitaki mizinga ya kijinga ya eti "Bebi naomba laki tatu ya kusuka" hiyo ndio siitaki na kama mnahisi kwenye sura nimesema hivi awe na sura inayomuonyesha huyu ni mwanamke na sio mtu aangalie mara mbilimuulize wiz khalifa ilikuaje akachepuka kwa amberose
anyways UNAONEKANA HUNA ELA ALAFU UNATAKA MWANAMKE ANAEHITAJI MATUNZO YA HALI YA JUU
GARI NZEUR UKIONA BARABARANI INATEMBEA JUA SERVICE NI MARA KWA MARA'
WEEE endelea kurembua tu na kuota kwenye daladala
usipochepuka wewe utagongewa mpaka
Hahahahaa yaani nimesoma hii post yako nikacheka kwa nguvu kweli yaani uuwiii! Jamani hebu rudieni kuzisoma hizo sifa nilizosema hapo juu wala sio za hao watu mnaowafikiria jamani. Nimesema najua jukumu langu la kumuhudumia ila sitaki mizinga ya kijinga ya eti "Bebi naomba laki tatu ya kusuka" hiyo ndio siitaki na kama mnahisi kwenye sura nimesema hivi awe na sura inayomuonyesha huyu ni mwanamke na sio mtu aangalie mara mbili
Hahahahaa nashukuru kwa kunisaidia kubeba kikombe hiki mkuu maana najua mashambulizi mengine yataelekezwa kwakoHumu lazima upondwe sana due to number of reasons
Baadhi ni kuwa
-Wapo wadada humu wana sura za kazi(ugly)
-Wapo wanaume wanaoamini wanawake wazuri sio wakuweka ndani ni wa kufurahisha dushe tu na kuachana nao
-Kuhusu suala la mizinga ya kijinga(ni sawa na kumla kuku wa kienyeji bila shombo) nk
30 walioshiba
Kama ni urefu nimesema kwenye vigezo if you read between the lines. Ng'ombe sio wa wizi coz nimesema nina hela ila sio za mizinga ya kijinga, tatu kama huna makalio unakali nini?dammmn tatizo nakuofia wewe
1.inazekana mfupi kama mlimao
2.inaezekana unasura pana kama watu wa stone age
3.inaezekana ngombe za wizi(ushasema hela una)
4.inaezekana huna chochote zaidi ya ROHO YAKO
5.sina makalio makubwa.....bye
Kama ni urefu nimesema kwenye vigezo if you read between the lines. Ng'ombe sio wa wizi coz nimesema nina hela ila sio za mizinga ya kijinga, tatu kama huna makalio unakali nini?
Haya we nikimbie tu huku unaona nna ng'ombe hapa
Nimekuwa nawaza sana what
kinda woman if I have her then wengine watalazimika kutumia nguvu kubwa
sana kunifanya nichepuke. Nadhani nimeweza kumjua na kama ningekuwa
najua kuchora kama zamani basi ningemchora ili nimesahau kuchora siku
hizi. Ila hivi ndivyo ningependa muonekano wake uwe; Awe na urefu wa
kati ya 5.5 - 5.6 ft hii itamruhusu hata akivaa high heels then
tunaendana, awe na light skin (sio mweupe), asiwe mnene wala mwembamba
(ukinenepa na manyamanyama nakuacha), awe na kijungu cha kiafrika (this
is very important) asiwe mpiga mizinga ya kijingajinga (Najua jukumu
langu la kumhudumia tatizo ni mizinga ndio sitaki ile ya kijingajinga)
so kama nitampata wa hivi then sitachepuka. Ah nilikuwa nimesahau sifa
nyingine kubwa, awe na sura yenye mvuto kuliko mimi sio tukikatika
vichwa na mi nimenyoa ndevu basi watu wadhani mi ndio mwanamke. Basi
ndio hivyo....
dah vigezo vidogo sana ivo kila mmoja anavyo wengine tumepitiliza hapo. vip niorozeshe vyangu nione dream kama zinaendana?
Yolo yoloooo,eti ukinenepa nakuacha.hayo si ndio masimango. Mfano kubeba ujauzito kunenepa hakuepukiki,....zaa wako atayebaki rigid forever
Iraki Girl??Hahshahahah lol
Kwetu Manyara. My dear kila mtu ana dream kuhusu
Mpenzi wake awe vipi .. endelea kutafuta lakini not for too long.
Usije kuwa babu miaka 60 bado unasubiri tu .🙂