Baby is Mad
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 279
- 97
Nimekuwa nawaza sana what kinda woman if I have her then wengine watalazimika kutumia nguvu kubwa sana kunifanya nichepuke. Nadhani nimeweza kumjua na kama ningekuwa najua kuchora kama zamani basi ningemchora ili nimesahau kuchora siku hizi. Ila hivi ndivyo ningependa muonekano wake uwe; Awe na urefu wa kati ya 5.5 - 5.6 ft hii itamruhusu hata akivaa high heels then tunaendana, awe na light skin (sio mweupe), asiwe mnene wala mwembamba (ukinenepa na manyamanyama nakuacha), awe na kijungu cha kiafrika (this is very important) asiwe mpiga mizinga ya kijingajinga (Najua jukumu langu la kumhudumia tatizo ni mizinga ndio sitaki ile ya kijingajinga) so kama nitampata wa hivi then sitachepuka. Ah nilikuwa nimesahau sifa nyingine kubwa, awe na sura yenye mvuto kuliko mimi sio tukikatika vichwa na mi nimenyoa ndevu basi watu wadhani mi ndio mwanamke. Basi ndio hivyo....
Nzuri sana mkuu
Kabla hujachepuka huwa kuna kitu kinaitwa "Second Thought" Hapo anaanza kuwaza mambo mengi kama vile, je huyu mtu anamzidi mume au mke wangu kitu gani? Je ist worth cheating with this person? So kama una your dream woman or man then unaweza kujikuta unapata opposition kubwa kwenye akili yako mwenyewe coz unaweza anza ona positive nyingi kwa uliye naye kuliko negatives na kuona negatives nyingi kwa mchepuko na kasha kuamua kuacahana na kuchepukaKuchepuka ni litabia la mtu tu, hata awe na mke wa ndoto zake kama za mtarajiwa wako
Jamani si ndio nataka nisichepuke jamani nikiwa na mwenye sifa pungufu ntaingia majaribuni kuchepuka
Mbona Beyoncé hakunenepa tena ndio kazidi kuwa hoot!
Tofautisha wakati wa ujauzito na baada hicho kipindi lazima mwili ubalike na ikibidi mwingine awe na rangi nyeusi km mkaa,
Ukimwangalia Beyonce fahamu Baada ya kujifungua,kuna uwezekano mkubwa sana wa kurudisha mwili kuwa kawaida name usiweze kujua km MTU ameshazaa.
We mwenzetu akinona tu utamwacha,kipindi hicho utachepuka??unless ujidanganye
Ok all the best umpate huyo atakaekidhi vigezo vyako
Nimekuwa nawaza sana what kinda woman if I have her then wengine watalazimika kutumia nguvu kubwa sana kunifanya nichepuke. Nadhani nimeweza kumjua na kama ningekuwa najua kuchora kama zamani basi ningemchora ili nimesahau kuchora siku hizi. Ila hivi ndivyo ningependa muonekano wake uwe; Awe na urefu wa kati ya 5.5 - 5.6 ft hii itamruhusu hata akivaa high heels then tunaendana, awe na light skin (sio mweupe), asiwe mnene wala mwembamba (ukinenepa na manyamanyama nakuacha), awe na kijungu cha kiafrika (this is very important) asiwe mpiga mizinga ya kijingajinga (Najua jukumu langu la kumhudumia tatizo ni mizinga ndio sitaki ile ya kijingajinga) so kama nitampata wa hivi then sitachepuka. Ah nilikuwa nimesahau sifa nyingine kubwa, awe na sura yenye mvuto kuliko mimi sio tukikatika vichwa na mi nimenyoa ndevu basi watu wadhani mi ndio mwanamke. Basi ndio hivyo....
afrodenzi we unazo zote ila tu Tanga kwenu naogopa kuvalishwa msuli mie
Kutoka kwenye avatar yako naona kama una sifa hizo? Au una kale ka mizinga?