My COVID-19 experience, hard times

Nafikiri tuna wimbi kubwa la watu wazima wasiojua kusoma.

Kuna watu wamesema uzi haueleweki wamejilazimisha mwingine anasema tatizo ni lugha.

Hawa ni watu watakaopata watoto na watatakiwa kuwalea.
Don't take that serious, Kuna watu humu wanapenda kucomment utani sana ili kuficha Identity zao.

Hivi unadhani wale waliokuwa viongozi na wasomi waliokuwa wakishinda kucomment na kuandika threads mbalimbali kabla ya JPM kwa Majina Yao halisi unadhani wameacha? Wapo sana humu ila unakuta wameamua kubadilisha Usernames tu.
 
Mr Grahams hapo hamna kitu, huyo mleta mada pengine ndo alisoma chini ya muembe akabrashiwa na Ras Simba, sasa ndo anakifanyia mazoezi.

uliona wapi aliesoma school bus au aliyeishi wingereza anaushamba kama huo?

siku zote mwenye nacho hajioneshi kiivooo maana huchukulia ni mambo ya kawaida, na ni kawaida yake ashazoea kuwa nacho

ila sasa, ambaye hana akipata looh!!!! tena pengine cha kudoea au cha kupewa atavojitapa, kujiskia na kujionesha, yani mpaka mtaani mwao watamkoma na kumtambua yeye ni nani.
 
Mr Grahams hapo hamna kitu, huyo mleta mada pengine ndo alisoma chini ya muembe akabrashiwa na Ras Simba, sasa ndo anakifanyia mazoezi.

uliona wapi aliesoma school bus au aliyeishi wingereza anaushamba kama huo?

siku zote mwenye nacho hajioneshi kiivooo maana huchukulia ni mambo ya kawaida, na ni kawaida yake ashazoea kuwa nacho

ila sasa, ambaye hana akipata looh!!!! tena pengine cha kudoea au cha kupewa atavojitapa, kujiskia na kujionesha, yani mpaka mtaani mwao watamkoma na kumtambua yeye ni nani.
Ila Mkuu tujitahidi kusomesha vijana wetu Shule nzuri, Kwa kufanya hivyo unamjengea mtoto kujiamini kukabiliana na mazingira yote ya baada ya Shule ikiwemo exposure.

Vijana wangu likizo iliyopita tuliwachangia waende safari ya kutalii Nje ya Nchi huko, Kwa kufanya hivi nina uhakika hawezi kuwa mshamba kiasi kikubwa, manake kama ni nje ya Nchi amesafiri akiwa katika Umri mdogo ukilinganisha na Sisi enzi zetu za Kidumu na Fagio
 
Pole sana Mkuu Kwa changamoto uliyopitia pia hongera kuweza kukabiliana nayo.

Madhara ya Uviko -19 yalikuwa ni makubwa zaidi kiuchumi hasa Kwa sekta ya Utalii, Elimu hasa wale Maagent wa vyuo vya Nje pamoja na biashara Kwa ujumla kutaja Kwa uchache.

Kwa Upande wa Watumishi, walishindwa kupandishwa madaraja wala Kuongezwa mishahara Uviko -19 ikiwa miongoni mwa sababu zilizochochea.

Ila yote kwa yote, unastahili pongezi zangu. Nyie ndiyo wale wanawake ambao tunaweza kudate Mwaka Mzima hujaniomba hela kwa kuwa Unajua mwenyewe kuzitafuta 👏👏💪🙊🏃🏃🏃
Msikimbie majukumu Grahams 😁😁😁
 
Msikimbie majukumu Grahams 😁😁😁
Sio kukimbia, napenda yule anayejiongoza. Anakwambia babe ninataka kufanya biashara X, unamsikiliza then unampa mtaji. Baada ya hapo hakuna kudaiwa Kodi, Wala kuombwa hela ya saluni.

Sio Demu anayekuomba hela ya kila kitu kuanzia Kodi, bili ya Umeme/King'amuzi Ada n.k
 
Hongera sana mkuu. Strong woman indeed, withstood all the hardships, and it paid off eventually.
 
Mr Grahams hapo hamna kitu, huyo mleta mada pengine ndo alisoma chini ya muembe akabrashiwa na Ras Simba, sasa ndo anakifanyia mazoezi.

uliona wapi aliesoma school bus au aliyeishi wingereza anaushamba kama huo?

siku zote mwenye nacho hajioneshi kiivooo maana huchukulia ni mambo ya kawaida, na ni kawaida yake ashazoea kuwa nacho

ila sasa, ambaye hana akipata looh!!!! tena pengine cha kudoea au cha kupewa atavojitapa, kujiskia na kujionesha, yani mpaka mtaani mwao watamkoma na kumtambua yeye ni nani.
Dada kuwa mpole maisha yaendelee.
 
Sio kukimbia, napenda yule anayejiongoza. Anakwambia babe ninataka kufanya biashara X, unamsikiliza then unampa mtaji. Baada ya hapo hakuna kudaiwa Kodi, Wala kuombwa hela ya saluni.

Sio Demu anayekuomba hela ya kila kitu kuanzia Kodi, bili ya Umeme/King'amuzi Ada n.k
Hao mnaokotaga wap, haaa haaaa king'amuzi, Ada., sabuni ya kuogea. Huyo mtu ni kiwete
 
Back
Top Bottom