Mutasingwa Wayne
Member
- Jan 20, 2013
- 53
- 34
- Thread starter
-
- #61
Hongera kwa kupata ujasiri wa kwenda kupima..Iwe fundisho kwako na kwa wengine wanaoendekeza ngono zembe!!
Mutasingwa Wayne!
Bazazi!
Anasema kuwa
Mkamia maji hayanywi,
Akinywa yatamkwama
Yasipomkwama atatapika.Nakwambia hamu uliyonayo
Kwa Hakika Dhakari haitadinda.
Ikidinda njoo hapa jamvini utujuze.
Bazazi
Wadau,
Kwa kuanza tu niseme nimefanya mapenzi yasiyo salama na wanawake wengi sana na mnamo mwaka 2006 nilikutana na mmoja wa ma-ex wangu ambaye tulikuwa hatujaonana kwa kadri ya mwaka mmoja hivi...huyu ex alikuwa mwenye hali mbaya kiafya akiwa na dalili zote za ''Gonjwa hili''.Nilipata wakati mgumu sana kimawazo kwani nilijua kuwa nimeshaambukizwa ukizingatia kwamba tulikuwa tunakulana peku peku halafu sana tu.
Hali hiyo ilinifanya kukata tamaa na tangu hapo nilikuwa mvivu sana wa kutumia Condom na nilikuwa na hofu kubwa ya kwenda kupima hivyo zaidi ya aslimia 80 ya wanawake niliokutana nao baada kipindi hicho nilikwenda peku peku huku nikisubiri siku yangu ifike.Nilikuwa mtu nayechukia sana stori zozote zinazohusiana na UKIMWI kwa hio nilishajihisi ni mmoja wa waathirika...nakumbuka nilikosa ajira moja kisa tu niliambiwa moja ya masharti ni kupima UKIMWI.Hili suala lilinifanya hata nisifikirie kuingia katika maisha ya ndoa licha ya kuwa na umri mkubwa tu sasa.
Hivi karibuni nilimpata mwanamke ambaye nastahili kumwita mwanamke wa shoka hasa...huyu tumekuwa marafiki kwa kadri miezi sita na muda wote huu amekuwa akiniambia ananipenda pia ila papuchi akawa mgumu sana kuitoa kwa masharti ya kwamba yeye si mpenzi wa Condom na kama ninahitaji papuchi basi twende hospitali tukapime ndipo anipe mzigo.Kwa masharti hayo nilikuwa tayari kumwacha aende zake hasa nikizingatia historia yangu isiyopendeza.Nilianza kumkwepa kukutana naye na mara nyingi alikuwa akinipigia simu na kuniita mtoto wa kiume coz kaniambia tupime mi nikakimbia.Nakumbuka siku moja nilivaa ujasiri tukaenda mpaka TMJ hospital tukiwa naye akaomba kuwa tupime then tupewe majibu tukiwa pamoja...nilitoka nje kama naenda kupokea simu nikatimka mbaya then nikampigia kuwa kuna dharura nyumbani.
Baada ya hapo akawa mchokozi sana na kuanza kuniambia kila asubuhi kuwa vipi umeshatumia dozi tayari akimaanisha ARV na hapo nilikosa raha sana ukizingatia na historia yangu.Leo nimeamua kupiga moyo konde nikaenda mwenyewe Agha Khan nikajisalimisha na kuamua kama noma na iwe noma...na nikaomba nipimwe kwa Elisa kabisa.Nilienda kwa mshauri kwa ajili ya counselling na hata sikumbuki alikuwa anaongea vitu gani kwani akili yangu haikuwa hapo kabisaa.Niliambiwa nisubiri kwa nusu saa baada ya kutoka maabara ambayo kwangu ilikuwa ni kama mwaka mzima hasa nikiangalia viruka njia niliopita nao peku peku...dah kufikia mida ya saa saba hivi nikaitwa na daktari na baada ya kuingia sikumwona kama ni mtu mchangamfu sana kitu kilicho nifanya nijue nimeshaharibu.
Daktari akaniambia kuwa damu yako iko negative....nimeruka humo ofisini kwake kama mwenda wazimu vile nikatoka mbio kwenda AAR kupima tena kama vipimo viko vile vile nikapewa jibu hilo hilo yaani hapa naandika bado natoa machozi maana siamini kilichotokea.Niko na huyu mtu hapa Sanitas tunaenda kupima niko na full confidence nikikuta tu hana leo hii hii namla.
ku confess peke yake hakutakusaidia, unatakiwa u repent kabisa halafu usitende dhaambi tena!Wadau,Kwa kuanza tu niseme nimefanya mapenzi yasiyo salama na wanawake wengi sana na mnamo mwaka 2006 nilikutana na mmoja wa ma-ex wangu ambaye tulikuwa hatujaonana kwa kadri ya mwaka mmoja hivi...huyu ex alikuwa mwenye hali mbaya kiafya akiwa na dalili zote za ''Gonjwa hili''.Nilipata wakati mgumu sana kimawazo kwani nilijua kuwa nimeshaambukizwa ukizingatia kwamba tulikuwa tunakulana peku peku halafu sana tu.Hali hiyo ilinifanya kukata tamaa na tangu hapo nilikuwa mvivu sana wa kutumia Condom na nilikuwa na hofu kubwa ya kwenda kupima hivyo zaidi ya aslimia 80 ya wanawake niliokutana nao baada kipindi hicho nilikwenda peku peku huku nikisubiri siku yangu ifike.Nilikuwa mtu nayechukia sana stori zozote zinazohusiana na UKIMWI kwa hio nilishajihisi ni mmoja wa waathirika...nakumbuka nilikosa ajira moja kisa tu niliambiwa moja ya masharti ni kupima UKIMWI.Hili suala lilinifanya hata nisifikirie kuingia katika maisha ya ndoa licha ya kuwa na umri mkubwa tu sasa.Hivi karibuni nilimpata mwanamke ambaye nastahili kumwita mwanamke wa shoka hasa...huyu tumekuwa marafiki kwa kadri miezi sita na muda wote huu amekuwa akiniambia ananipenda pia ila papuchi akawa mgumu sana kuitoa kwa masharti ya kwamba yeye si mpenzi wa Condom na kama ninahitaji papuchi basi twende hospitali tukapime ndipo anipe mzigo.Kwa masharti hayo nilikuwa tayari kumwacha aende zake hasa nikizingatia historia yangu isiyopendeza.Nilianza kumkwepa kukutana naye na mara nyingi alikuwa akinipigia simu na kuniita mtoto wa kiume coz kaniambia tupime mi nikakimbia.Nakumbuka siku moja nilivaa ujasiri tukaenda mpaka TMJ hospital tukiwa naye akaomba kuwa tupime then tupewe majibu tukiwa pamoja...nilitoka nje kama naenda kupokea simu nikatimka mbaya then nikampigia kuwa kuna dharura nyumbani.Baada ya hapo akawa mchokozi sana na kuanza kuniambia kila asubuhi kuwa vipi umeshatumia dozi tayari akimaanisha ARV na hapo nilikosa raha sana ukizingatia na historia yangu.Leo nimeamua kupiga moyo konde nikaenda mwenyewe Agha Khan nikajisalimisha na kuamua kama noma na iwe noma...na nikaomba nipimwe kwa Elisa kabisa.Nilienda kwa mshauri kwa ajili ya counselling na hata sikumbuki alikuwa anaongea vitu gani kwani akili yangu haikuwa hapo kabisaa.Niliambiwa nisubiri kwa nusu saa baada ya kutoka maabara ambayo kwangu ilikuwa ni kama mwaka mzima hasa nikiangalia viruka njia niliopita nao peku peku...dah kufikia mida ya saa saba hivi nikaitwa na daktari na baada ya kuingia sikumwona kama ni mtu mchangamfu sana kitu kilicho nifanya nijue nimeshaharibu.Daktari akaniambia kuwa damu yako iko negative....nimeruka humo ofisini kwake kama mwenda wazimu vile nikatoka mbio kwenda AAR kupima tena kama vipimo viko vile vile nikapewa jibu hilo hilo yaani hapa naandika bado natoa machozi maana siamini kilichotokea.Niko na huyu mtu hapa Sanitas tunaenda kupima niko na full confidence nikikuta tu hana leo hii hii namla.
wala sio ngumu kama unavyodhani ila tu kuna jambo ambalo wengi hamlielewi.huku uswazi tunawaita makeria.
Hivi jamani si tunaambiwa kupima urudi baada ya miezi 3 tena wanakuandikia kabisa nyuma ya kikadi tarehe ya kurudi.
Huyu mwenzetu vipi haelewi hilo?
Aaaaa kweli elimu ya ukimwi ni ngumu
Dawa ya watu kama ww ufanyiwe hivi....Ee Mwenyezi Mungu, nipe hiyo nguvu niweze kupima... i have tried n tried n tried! Naona kama nitazirai huko hospitali...
kivipi mkuu, kwani mwenzako majibu yake yakoje alipopima?Mkuu Bazazi umemaliza aisee coz jana hata hamu ilikata kabisaa na yeye sasa hivi namwona kama shetani tuu yaani siamini mtu kabisaa
Naona 24hrs imeshapita, tume matokeo, vipi ulimla kama ulivyoahidi? yeye alikupa ya kwake? maana na wewe ni kiruka njia nambari moja, koma kuwaita dada wa wenzako viruka njia. Asante
Hahaa mkuu kwani hamu ninayo tena!!Sasa hivi kila nayemwona namuona mgonjwa tu.
kivipi mkuu, kwani mwenzako majibu yake yakoje alipopima?