!
!
UKIMWI haupimwi mkuu, unHkikiahwa tu, na ndio maana majibu ni mawili tu unao au huna. Vitu vinavyopimwa ni uzito, urefu na kadhalika. Na kilichokutuma ukajitoa muhanga hivyo nini!.............ukitaka kujua kwa urahisi jikate upate kidonda then angalia speed ya kupona baaaasi