unamalizia saa ngapi au lini haja haka ka-story?
pili kwanini mliwekeana masharti ya kupigwa risasi kwa yeyote anayerudi kwenye Land-Rover
mpaka jamaa bila kuangalia akakupiga za bega
Dah Mentor alistahili na alistahili more than that kwa alichomfanyia huyo binti aise
Dah pole sana kwa maumivu ya kupigwa risasi ya bega
Aiseee...inauma sana..imagine it's ur daughter daaah
Uyo jamaa anastaili kifo..tena achinjwe kwa msumeno butu
BADILI TABIA haijaisha...ila malizia at your own risk!Mentor.....ndio imeisha hii???
Ukaenda kumfanyaje
Twii.....sasa huko kusikojulikana......mbona wewe umerudi kutusimulia......?......yeye umemuacha wapi........?......
inahuzunisha sana...huwa natamani wabakaji na walawiti wapewe adhabu ya kunyongwa kabisa..machozi yanatiririka doh.Hongera pia kwa uandishi mzuri.
Nawewe ulienda kumlawiti!
Mentor where are you?
...ingawa wataalamu wa afya wanasema eti wanakuwa na 'psychological problems' sijui lakiniiii
Malizia basi..... Mentor
Mentor umeenda kumpa dereva wa bodaboda lift na zawadi Kama yeye alivyokuwa akimpa mtoto wa 8yrs, au umeenda kumwambia Mungu ampende zaidi?
yawezekana...ukiwa na akili zenye utimamu iliyojaa utu wa kibinadamu hauwezi kufanya hivyo.Jamii pia imetowekwa na upendo,nampenda Shabani Robert aliposikitia kutoweka huko kwenye Mapenzi Bora
"Mioyo yetu na utu
Wanayo wanyama mwitu
ya kwao sasa ni yetu
Maskini ya Mapenzi"
Haki mengine tuyafanyao yanawazidi wanyama...
Mkuu pole kwa mkasa Wa kupigwa risasi. Pia nakupa salute kwa kujitoa mpaka kuhakikisha huyu muuaji unamtia mikononi na kumpeleka mabwepande.
Acha bwana.. Ndo nini kutuonjesha kiduchu hivyo? Tabia mbaya hiyo Mentor , umeishia patamu kweli!!tatty labda unitafute private nikuhadithie, la sivyo, you are free to imagine!
Hahahah Bujibuji, (a) na (b) yote sawa!
#justEchoing
"Mioyo yetu na utu
Wanayo wanyama mwitu
ya kwao sasa ni yetu
Maskini ya Mapenzi"
Ila swali kwako dada womanity, je, mgonjwa anastahili tiba au adhabu ya kifo!???
Asante kwa hayo ya mwanzo mkuu kunguni wa ulaya,
Ila hapo kwa 'mabwepande' pulizi usintafutie kesi....nimeshastaafu nakula pensheni!!!!