Wewe ndo ulitoa au yeye? jinsia yako ni ipi?!
Na ulitoa au ilitolewa?
ilikua saa sita na nusu mchana siku ya Ijumaa......nipo nyumbani baada y akutoka kufundisha Tuisheni mbali kidogo na nyumbani........unaikumbuka likizo ya Mkapa enzizile ukimaliza form 6 unakaa zaidi ya mwaka nyumbani..ndoiyo!!
sasa basi akaja binti na uniform zake..katoroka school,namwangalia kama kanenepa ivi kidogo,ni binti mzuri kwa kweli...
nampokea kwa kumbatio heavy as i used to love that first Girlfriend of Mine,hapo binti yupo Form Four..mwezi wa Sita ivi..
Binti akanipa live anahisi kuwa ana ujauzito..tukapime.NI mtoto wa mchungaji na kwao ni sheria kali..ukizingatia ni first born..
kufika mjini tukapima mtoto kweli ni mjamzito..miezi miwili.Daktar kuona ile Uniform akajua ni wakusoma..akaadvise tutoe,garama ni 15,000...nikajadiliana na binti akapropose tutoe pia..sikupenda..nilitamani nitoroke..niljua ni dhambi kubwa...nilizidiwa nguvu..ikabidi nikubali kuitoa.....akatoa ile mimba......bahati ilitoka bil amatatizo....tukarudi nyumbani..nikamsindikiza hadi kwao...after a week akarudi shuleni.......ingawa baada ya mimi kwenda chuo uhusiano wetu haukuendelea..ila hadi leo bado tunapendana (kaka na dada eep:..kaolewa na ana mtoto mmoja sasa...
huwa naikumbuka sana iyo situation n akuniumiza sana moyo wangu........natamani isingewezekana kuw ahivyo..ila haiwezekani.......
haya wale woote hapa mliowahi/mnaotarajia kutoa au kushawishi kutoa ujauzito...kiri na utubu kwenye thread hii...
mimi nilishakiri na kumuomba Mungu anisamehe...but is not bad to share it with you
I didn't want to, but she insisted! Blinded by love, i supported her! Thanks God everything worked out fine. Mungu Nisamehe!