My Boyfriend Said I Look Old

Sas kam mlikua mna meet mchan na ck hy cjui ndio mli lala pa1 au alikuj kwak kabla hujaamka ndio akaona hali ya halic y uso wak unatak acsem. Kam old old 2. Ila kumbk old iz gold
 

ha ha ha ha ha ha ha umenifurahisha Genekai
 
Ngoja Uchaguzi uiishe then i will be back dah niliisha pasahau nyumbani kwangu
 
From what i see kuna ule uzee wa nafsi (sio sura wala mwili)......
If you behave like Gabriella, the nun, then you are surely older than yourself....
 
Hivi hapa mnachakachua nini?

Njooni hapa Kawe Ukwamani tumzalishe Halima wetu. Atuzalie watoto kibao, waje wawe madiwani wetu.

Kwaherini wapwaz...ntapotea kidogo....niko bize na Halima, mtanisahau kama nimekufa vile.:tape::tape::tape:
 
Ona sasa. Mdada wa watu cku hiyo makeup haijakaa vizuri, kaambiwa ukweli, unamshauri amuache mpenzi wake. Utalaumiwa Rose. Mimi namshauri abadili muonekano. awe kama cku aliyoambiwa "you look sooooo bbbbeautfull"
mmh huwa hawana jema wanaume hasa akishakuchoka inawezekeana tena siku hiyo ndo alikuwa bomba kuliko sk zote ndo kaambiwa hivyo,huyo kapata mwingine basi hawezi kumwambia live
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…