Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,020
- 134,226
Katokea Iringa? 'niangusage tu'
Mwe!! kumbe wakati mwingine tunakuwa na wagonjwa wa akili halafu tunasema wanga. Sasa katika uchunguzi wako hawa exhibitionists hawawezi kufikia kutenda mambo mengine kama kubaka? Asijenajisi watoto wa bosi!
Tushamwambia mara nyingi tu, lakini hasikiiKwani uchi wake na performance yake vina uhusiano gani? kama ana perform ni suala la kwenda nae taratibu tu, ataelewa, si vyema sana kubadilisha wadada wa kazi kila siku. Nendeni nae taratibu ili muweze kumsaidia yeye mwenyewe na nyie wenyewe pia. Ni ushauri tu, kuhusu huyo Cousin wako sioni kama hii ni hoja maana kama anatabia za kuwagonga mahouse-girl basi hata kama huyo binti angeshinda amevaa Ovaroli la bati bado lingevuliwa tu na wange-sex kwa mitindo yote wanayoijua kiasi kwamba mngewafumania pengine mngeanguka kwa mshangao maana hizo style hata nyie hamjawahi kuzitumia......
Tafuteni namna ya kumshauri, kumfokea na kumtisha kama vile mnalazimisha serikali mbili haitasaidia
Uchiphobia....
Au cousin amtungue kidogo
huyo si mwanga wala, si anataka kugegedwa ila ana matatizo ya akili na kibaolojia huitwa exhibitionist watu wa psychiatric watamsaidia tatizo lake...........
watu hawa huwa na desturi za kuonyesha sehem zao za siri hata kwenye public places kama viwanja vya mipira, ama kwenye maonyesho nk wengine hudiriki hata kuzini sehem za watu wengi na kwao hilo sio kosa wanaona kama sehem ya maisha.....
mpeleken kwa dkt wa vichaaWow! thanx kwa habari njema..... naona pakuanzia sasa
Kama mko Dar tena huko mjini, mumfungie AC...
Ni msichana wa ajabu sana, hapendi kuvaa nguo... muda wote anatamani awe uchi.... ukimkuta chumbani kwake ni uchi... i mean uchi bila piccchu...... yani kabisa... na siku akibaki nyumbani peke yake anashinda uchi na kama ukirudi ghafla utamkuta uchi.... mbaya zaidi cousin wangu ni wa kiume, na yeye huwa anamkuta uchi, na anapoulizwa nini kinamfanya awe uchi anajibu anapenda tu, hapendi nguo....! Aunt anataka kumfukuza kazi... ingawa anafanya kazi vizuri sana, tatizo lake ni kupenda kukaa uchi... ana tatizo gani huyu?
hata nyumba nzima ni sawaitafungwa wapi?
hata nyumba nzima ni sawa