My aunt's house girl

My aunt's house girl

Kwani uchi wake na performance yake vina uhusiano gani? kama ana perform ni suala la kwenda nae taratibu tu, ataelewa, si vyema sana kubadilisha wadada wa kazi kila siku. Nendeni nae taratibu ili muweze kumsaidia yeye mwenyewe na nyie wenyewe pia. Ni ushauri tu, kuhusu huyo Cousin wako sioni kama hii ni hoja maana kama anatabia za kuwagonga mahouse-girl basi hata kama huyo binti angeshinda amevaa Ovaroli la bati bado lingevuliwa tu na wange-sex kwa mitindo yote wanayoijua kiasi kwamba mngewafumania pengine mngeanguka kwa mshangao maana hizo style hata nyie hamjawahi kuzitumia......

Tafuteni namna ya kumshauri, kumfokea na kumtisha kama vile mnalazimisha serikali mbili haitasaidia

Mpwa haujaacha mabo yako tu mpwa, sasa hizo style zinahusiana vipi na ushauri mpwa wangu? wewe na amu naona hamna mpango mzuri na mbavu zangu, maana naye eti anashauri cousin wake ampige mashine...loh!...:A S 13:
 
Last edited by a moderator:
Mpwa haujaacha mabo yako tu mpwa, sasa hizo style zinahusiana vipi na ushauri mpwa wangu? wewe na amu naona hamna mpango mzuri na mbavu zangu, maana naye eti anashauri cousin wake ampige mashine...loh!...:A S 13:

Hapa napata kuamini kuwa cousin ana matatizo au house girl ni toleo la mwisho.
HAIWEZEKANI.........
 
Last edited by a moderator:
Hapa napata kuamini kuwa cousin ana matatizo au house girl ni toleo la mwisho.
HAIWEZEKANI.........

hahahhaaa, ila kweli mkuu, maana enzi zetu mahouse girl walikuwa na heshima sana asee, halafu sjui walikuwa wanawatoa wapi maana kila anayekuja ni mzuri zaidi ya aliyetoka asee, hapo ni kushindana speed tu!
 
Cousin ana matatizo..Angemgegeda lazima angetafuta PICHUU afiche nyapu yake.
 
hahahhaaa, ila kweli mkuu, maana enzi zetu mahouse girl walikuwa na heshima sana asee, halafu sjui walikuwa wanawatoa wapi maana kila anayekuja ni mzuri zaidi ya aliyetoka asee, hapo ni kushindana speed tu!
sisi tulikua wavulana sita halafu wote tunakaribiana, acha kabisa yaani housegirl tulikua tunamsulibisha uitadhani ni mpira wa kona.....akiingia huku akitokea kule ni vile vile tu, akishindwa mziki wake ana-resign
 
sisi tulikua wavulana sita halafu wote tunakaribiana, acha kabisa yaani housegirl tulikua tunamsulibisha uitadhani ni mpira wa kona.....akiingia huku akitokea kule ni vile vile tu, akishindwa mziki wake ana-resign

ahahahaa, vichwa sita noumer, hapo kila mtu anapiga kimyakimya anaona nomer kuwaambia wenzake, mwisho wa siku mnajikuta wote mnachapa...dah!
 
Labda mazingira aliyokulia, sidhani kama tabia hiyo ameianza ukubwani
 
mdada mmemtoa makambako kwenye baridi kama kwenye friji mnamleta dar kwenye joto kama pasi mnategemea nini?
 
Kila binadamu ana fujo zake hapa duniani kuna habari za wengine ukizisikia unabaki kinywa wazi
 
Cousin ni mdogo sana au mkubwa???kama ni mkubwa amgegede 2 akili itamkaa sawa atavaa chupi,boxer,gaguro,skirt na khanga juuu wafanya mchezo nini
 
Ni msichana wa ajabu sana, hapendi kuvaa nguo... muda wote anatamani awe uchi.... ukimkuta chumbani kwake ni uchi... i mean uchi bila piccchu...... yani kabisa... na siku akibaki nyumbani peke yake anashinda uchi na kama ukirudi ghafla utamkuta uchi.... mbaya zaidi cousin wangu ni wa kiume, na yeye huwa anamkuta uchi, na anapoulizwa nini kinamfanya awe uchi anajibu anapenda tu, hapendi nguo....! Aunt anataka kumfukuza kazi... ingawa anafanya kazi vizuri sana, tatizo lake ni kupenda kukaa uchi... ana tatizo gani huyu?

Anashinda uchi? Kuweni makini msije jikuta mnaajili WANGA!
 
Last edited by a moderator:
Haa..huyo me asubhui tu namrudisha kwa amani.kwanini akae uchi kaja kufanya kazi au kaaga kwao kaja kutafuta kazi..mtoeni sio mfanyakazi huyo loh anapika yuko uchi amjiulizi kuna shida hapo..
 
Mkimfukuza mtakuwa mnamuonea jamani tulizaliwa bila nguo. ADAM&EVE waliishi naked mpaka yule mmiriki wa raha za duniani alipokuja kuwafunulia siri ya mtungi na hatimae wakafungua ukurasa mpya kuliheshimu lile tunda tamu zaidi ya asali liketilo katikati ya kiwiliwili cha kiumbe aitwaye mtu!
Nikwambie kitu....
mnong'oneze binamu atafune kinyama cha hamu cha huyo househelp, mwenyeeewe atatafta magome/nguo zilipo ili astili kitumbua!
 
Dawa ya moto ni moto.....kama cousin amepevuka basi naye awe anashinda uchi.
 
Back
Top Bottom