First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Hi!
Sina muda mrefu sana kujisajili kuwa member ndani ya jamvi la wenye upeo mkubwa wa kufiria,
nilikuwa nikisoma tu, lakini hatimae tarehe 11 july nikaona niyavulie haya maji ili niyaoge.
Nilifurahia sana influence ya members katika kunikaribisha wakiwemo
Ulimakafu
chatu dume
afro
kipipi
na wengine kibao ambao mlinitumia hadi kadi za kukaribishwa zilizopendeza sana
niliwahi kupata ushauri mzuri wa kubadilisha avatar kutoka kwa bi mkubwa Asha Dii, nilifurahi sana.
Bujibuji aliandika, hapa hatuna boss, hatuna mfanyakazi
mi naongezea hapa hakuna mtwana wala mtumwa
wote nahisi kama tuko sawa vile
nimepata marafiki wengi wakiwemo walio katika mkoa wangu wa Arusha kama Mr. Rocky, Daffi, na Gurta ambae ndie alienishauri hadi nikajitosa jamvini.
nina mengi wakubwa niliyapata humu jamvini kama positive attitude, kiufupi naappriciate kazi ya jf members, pamoja na mamods,
sina miezi miwili hadi leo lakini nina post kibao kuonyesha ni kwa jinsi gani navutiwa na Jf hadi kuwa addicted kwa kiasi fulani
NAKUBALI KUWA NIKO ADDICTED,
NALIPENDA JAMVI,
NAWAPENDA WOTE,
NAUPENDA USHIRIKIANO WENU.
First Born
tchao!!
Sina muda mrefu sana kujisajili kuwa member ndani ya jamvi la wenye upeo mkubwa wa kufiria,
nilikuwa nikisoma tu, lakini hatimae tarehe 11 july nikaona niyavulie haya maji ili niyaoge.
Nilifurahia sana influence ya members katika kunikaribisha wakiwemo
Ulimakafu
chatu dume
afro
kipipi
na wengine kibao ambao mlinitumia hadi kadi za kukaribishwa zilizopendeza sana
niliwahi kupata ushauri mzuri wa kubadilisha avatar kutoka kwa bi mkubwa Asha Dii, nilifurahi sana.
Bujibuji aliandika, hapa hatuna boss, hatuna mfanyakazi
mi naongezea hapa hakuna mtwana wala mtumwa
wote nahisi kama tuko sawa vile
nimepata marafiki wengi wakiwemo walio katika mkoa wangu wa Arusha kama Mr. Rocky, Daffi, na Gurta ambae ndie alienishauri hadi nikajitosa jamvini.
nina mengi wakubwa niliyapata humu jamvini kama positive attitude, kiufupi naappriciate kazi ya jf members, pamoja na mamods,
sina miezi miwili hadi leo lakini nina post kibao kuonyesha ni kwa jinsi gani navutiwa na Jf hadi kuwa addicted kwa kiasi fulani
NAKUBALI KUWA NIKO ADDICTED,
NALIPENDA JAMVI,
NAWAPENDA WOTE,
NAUPENDA USHIRIKIANO WENU.
First Born
tchao!!