Mkuu suala la kuteketeza familia, nimelitumia kama mfano, kwasbb watu wengine upenda kwenda kwa waganga, kwa bahati mbaya waganga hao uwapa masharti ya kutoa mtu ampendaye kama kafara. wengi wetu wameumia sn katika hili. ukubali kula viapo ila badae ushindwa kutimiza mashart. nadhan umenielewa. suala la pesa za kuanzia siwezi kulizungumzia sana kwa sabb kila mtu ana mtaji wake. ila kwa dondoo ni vyema mtu anayefanya ublocka kama nguvu ni ndogo sana angalau 1,000 dollar kwa kuanzia,kumbuka jiwe ni aidia siyo mtaji mkubwa sana kama watu wafikiriavyo.
Kwa kupeleka Thailand ni wewe kulitathimini jiwe pesa unayo weza kuipata kwa kuuzia uko, baada ya apo tuo gharama za nauli ya ndege na zinginezo. ukiona faida hipo ila ni ndogo ni bora ukauza hapa apa tz au mutopwezi. ila watailand wa Mutopwezi wengine wananunua kwako wanaenda kuuza Thailand kwa hela nyingi.