Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 1,351
- 3,879
View attachment 2636814
aka Bayser hana habari anakula upepo wa bahari
View attachment 2636814
aka Bayser hana habari anakula upepo wa bahari
A ya mama yko?Wewe k mbichi acha kunizoea bata wewe
Aisee
Kwani sasahivi mr blue ana mdevu?Sasa 2003 ndevu alikuwa nazo?
Bora tu kila mtu aishi maisha yake, na wala Mr Blue siyo wa kusema amezeeka hivi kwamba tuseme mwonekano wake hauendani na umri wake.
Yuko sawa tu hajatoka kwenye kundi.
Maana Kuna wenzie wanatoka na vigauni vya pink.
Kwahiyo yuko sawa tu.
Kama mkongo....kitoko nangai papa.😀😀😀View attachment 2636814
aka Bayser hana habari anakula upepo wa bahari