Hakumpa fursa mtu yeyote yule, hata kushaurika alikuwa hashauriki, uliza waliokuwepo wakati huo mpaka akabandikwa jina "Aambiliki" kisirisiri, maana akikujuwa tu unapotea.
Hakumpa fursa mtu yeyote yule, hata kushaurika alikuwa hashauriki, uliza waliokuwepo wakati huo mpaka akabandikwa jina "Aambiliki" kisirisiri, maana akikujuwa tu unapotea.