Mwl Nyerere alivyosema kuhusu 'Ukahaba'

Mwl Nyerere alivyosema kuhusu 'Ukahaba'

aliona mbali biashara ya ukahaba ikipigwa marufuku wateja wao watakosa huduma watabaka mama zetu na watoto wetu wadogo.ni bora iwepo ili wateja wao wapate pakuponea
 
Nyerere mnampaga sifa ambazo akuwa nazo.
Yan wanamuona kama nabii ...jpo huyu mleta thread hajaonesha marejeo n WAP kayatoa hayo ....hta ka n kweli huyo nyerere kazungumza n upuuz mtupu
 
Yakija mnayotaka kuyasikia Mwl. Nyerere anafaa tena sana hadi akina nanii hawana shida naye, ila ngoja iwe kinyume chake. Mzee wa watu atasemwa na kutukanwa kana kwamba yu hai na hasa akina nanilii. Huu si uungwana, hatuwezi kuwa watu wa kila mtu na masrahi, na hatuwezi kutetea uovu kwa aina yoyote ile. Mwalimu Myerere alikuwa mwanadamu kuna mahala alikuwa sahihi na kuna maeneo alikosea pia na ndo maana akasema ..ya kipuuzi yaacheni ila yanayofaa yachukueni.

Na hata yeye leo asingerudia kauli ile kwasababu yeye pia alikuwa ni mzuri wa kusoma nyakati, angalia kung'atuka kwake, angalia kurudi kwa vyama vingi n.k. Kwahiyo msipende kukariri na kufanya ubabaishaji, ongea wewe kama wewe na kama huna hoja kaa kushoto kuliko kumtaja mzee kizembe kizembe namna hii, haipendezi
 
aliona mbali biashara ya ukahaba ikipigwa marufuku wateja wao watakosa huduma watabaka mama zetu na watoto wetu wadogo.ni bora iwepo ili wateja wao wapate pakuponea
Huo n upumbavu miongon mwa upumbavu wa nyerere wenu
 
Yakija mnayotaka kuyasikia Mwl. Nyerere anafaa tena sana hadi akina nanii hawana shida naye, ila ngoja iwe kinyume chake. Mzee wa watu atasemwa na kutukanwa kana kwamba yu hai na hasa akina nanilii. Huu si uungwana, hatuwezi kuwa watu wa kila mtu na masrahi, na hatuwezi kutetea uovu kwa aina yoyote ile. Mwalimu Myerere alikuwa mwanadamu kuna mahala alikuwa sahihi na kuna maeneo alikosea pia na ndo maana akasema ..ya kipuuzi yaacheni ila yanayofaa yachukueni.

Na hata yeye leo asingerudia kauli ile kwasababu yeye pia alikuwa ni mzuri wa kusoma nyakati, angalia kung'atuka kwake, angalia kurudi kwa vyama vingi n.k. Kwahiyo msipende kukariri na kufanya ubabaishaji, ongea wewe kama wewe na kama huna hoja kaa kushoto kuliko kumtaja mzee kizembe kizembe namna hii, haipendezi
Comment yako ina maana gani? nini ujumbe wako hapo kuhusu kumtaja Mwl Nyerere na hao wakina nanii ndiyo wakina nani? napenda sana mtu aliye wazi na mkweli
 
Yan wanamuona kama nabii ...jpo huyu mleta thread hajaonesha marejeo n WAP kayatoa hayo ....hta ka n kweli huyo nyerere kazungumza n upuuz mtupu
Hujasoma mada yote sasa utaelewa nini....na hayo ndiyo matatizo ya watanzania ukitaka kumficha jambo weka ktk maandishi,Sasa mada ina maelezo yote lakini hujui imetoka wapi si maajabu hayo.
 
Nyerere alikua baba na kiongozi
kabisa kabisa hata kama alikuwa na mapungufu kama binadamu lakini kwakweli kwenye uongozi kuna mambo alijitahidi sana kuweka misingi imara.
 
Comment yako ina maana gani? nini ujumbe wako hapo kuhusu kumtaja Mwl Nyerere na hao wakina nanii ndiyo wakina nani? napenda sana mtu aliye wazi na mkweli
Jiongeze
 
kwa staili ya maisha tunayoishi ulimwengu wa leo ni vigumu sana kuzuia haya mambo..!!naona serikali imekosa watu makini hadi kufikia hatua ya kukamata wanyoa viduku,wavaa milegezo,wavaa vimini na wakaa uchi??kwan hakuna kazi zingine za kufanya ili kuleta maendeleo nchini kwa nn hawaioni fursa kwa wauza uchi na wanaonunua makahaba??
 
sasa huyo ndugu yako akiamua kufanya hiyo biashara hutaweza kumzuia
Hujui hilo swali limetoka wapi.....hiyo ni biashara kutokana na mindset ya mtu mwenyewe.Kumsaidia ndugu yako kuacha na maamuzi ya ndugu mwenyewe wengine wamesaidiwa na wameacha na wengine wamewaacha ndugu zao waendelee na hiyo biashara kwasababu ambazo wanazijua wenyewe.Mambo mengine ni too personal hata kama ndugu wanaweza kuhusika.
 
taabu yetu kubwa watz hatupendi kujishughulisha kufikiria kwa makini. kwanza nampongeza sana mleta uzi kwani nionavyo hakuwa na shida ya kumuelezea hayati Mwl. Nyerere alivyokuwa bali naamini alilenga katika kuyapima mambo au hatua zinazochukuliwa leo na viongozi wetu dhidi ya makundi fulani katika jamii. Na kiukweli sioni tatizo kabisa na maelezo yake kwa kijana wake, kwa mfano alihoji huko unakowapeleka/unakowatoa umeandaa mazingira gani?,lakini pia kuhusu Yesu Kristo na makahaba aliowasema ilikuwa uongo?,lakini pia ni kweli ni kweli makahaba wapo miji yote mikubwa duniani, Dubai wapo, Bangkok ndio usiseme hapa wamerasimishwa ni halali kabisa na serikali inatoza kodi kubwa tu kwa kila mteja wa kahaba serikai inaingiza mapesa.Labda shida kubwa ninayoiona tunashindwa kuwa wabunifu,mi naon wangepewa utaratibu mzuri wa kuendesha biashara yao, badala ya kusimama barabarani aidha pawe na mitaa yao maalum au wawe wanaenda kwenye kumbi za starehe, jamani hawa wanatoa huduma, kama wewe unaiona ni mbaya wako wenzako wanaihitaji sana kama ilivyo kwa pombe na sigara, ok umewahi kujiuliza kwamba, unawaondoa Dsm makahaba,ombaomba,watoto wa mitaani, halafu unampelekea nani?
 
Back
Top Bottom