Mwl. Mwakasege VS Mwamposa

mbona mwaka mbali sana kwanini usiseme kesho?
Mungu hufanya Kazi zake pale mtu anapokua amejisahau kabisa. Ndio maana katengeneza usingizi. Utakuja kuikumbuka hii thread ukiwa kwà Mwamposa
 
Ilikua semina ikiruka live via Upendo TV ,...note: aliongea mwishoni wakati watu wakitaka kutoa sadaka...kwà ufupi sana...kama kuwataadharisha wasijihusishe na mambo ya birthday cakes....
kwani birthday cake ndio mwamposa? Hizi kitu dini na birthday wametuletea wazungu/ waarabu zinatupa shida sasa.
 
Mwalimu wa SHERIA au sio? Kama wale viongozi wa dini waliowaconvis waumini waseme YESU asurubiwe......#Teachers of the Laws.....ambao walikua hawajui hata kuzaliwa mara ya pili maana yake nini....
hawa wanyakyusa mwakasege, mwamposa, lusekelo...wote wanadoma bibilia unaitafsiri vipi hii huduma kwa watu/ waumini wako. wengi hatusomi, hatuna kalama, hatuisishi na maisha yetu ya sasa na yajayo, hatusimami na neno. Tujifunze kuchukua mema kuyasimamia na kuyatenda kwa imani ili tuziponye nafsi zetu.
 
Sababu wajinga ni wengij
 
Sababu wajinga ni wengij
God oftenly, uses the foolish things to shame the wise.

Kule ambako unaona kuna mijinga mingi ndo huwa yuko Mungu.

Sema "AYAYAYA"

Na wewe pokea kwà jina la YESU
 
Upo mbali sana na Nuru. Ondoka gizani.
 
Upo mbali sana na Nuru. Ondoka gizani.
How beautiful are the feet of those who know the truth of God.

Note: Nuru na Mwanga huongozana pamoja. Next time ukiongea mambo ya nuru uuseme na Mwanga pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…