MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,978
- Thread starter
-
- #61
Ilikua semina ikiruka live via Upendo TV ,...note: aliongea mwishoni wakati watu wakitaka kutoa sadaka...kwà ufupi sana...kama kuwataadharisha wasijihusishe na mambo ya birthday cakes....Ebu sema alimpondaje ?
Nb mwakasege hana waumini na hana kanisa,ukiona mkutano wake jua amealikwa,kaitwa,au semina
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka Jana Mwamposa alifundisha Kuhusu "Hekima ya Mungu", kwa mwezi mzima sijui kama ulipokea chochote kutoka kwenye hilo somo,unahitaji kuomba sana hekima,siioni hekima yako katika hiki ulicholeta hapa.Sijabisha....lakini ukweli ni kwamba ukweli uliomo kwenye Neno la Mungu hauwezi kamwe kukuweka huru..., Ukweli unaoweza kukuweka huru ni ule utokao kwà Mungu mwenyewe live...., Sio ule wa kwenye kitabu chake...
Siku ukijua tofauti Kati ya Holy Spirit na Holy Ghost, then hapo utajua Kati ya Mwakasege na Mwamposa...nani anatumia Holy Spirit na nani anatumia Holy Ghost
"Kama umeishawahi kuandika maombi kumi na mbili ", ndiyo maana yake hiyo.Hili neno "AYAYAYA" Lipo na maana gani
Hivi uko na akili timamu then unamwamini huyo jamaa!!!Hahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Nakushauri tu usije enda kwa MwamposaUkiona wachungaji sijui manabii wanasemana sababu kuu ni sadaka ila kila mtu na imani yake bwana mwakasege namkubali sanaa na mwamposa pia ila kusali kanisa langu kkkt siachi
Siwezi kupoteza muda mwingi kumuangalia Mwakasege....ujue mambo mengine hutokea kama Coincidence tu au kama intervention tu....nilikua naperuzi channel nikamkuta yupo live...ile naanza kumsikiliza....si ndo akamponda mwenzake..aah nikaona bure Kabisa...nikalitoa hilo lichanelJuu kasema aliacha kufatilia muda mrefu hapa kasema juzi ndo akaenda dar kwa semina nyingine.... Mara zingine hata ukiamua kuwa chawa akili zako tumia pia
Ebu andika alivyosema mkuu.Ilikua semina ikiruka live via Upendo TV ,...note: aliongea mwishoni wakati watu wakitaka kutoa sadaka...kwà ufupi sana...kama kuwataadharisha wasijihusishe na mambo ya birthday cakes....
Wewe ni chizi au chawa wa watu wa miujizaWatu walishachoka kusikia ma historia....watu wanataka kuona experience.
Sio kuwasimulia historia...afu vitu havitokei...unachukua sadaka unaondoka..
Tunataka kuona experience...I mean...Neno lipenetrate kuanzia kwenye ngozi, nyama, mifupa mpaka kule kwenye urojo wa ndani ya mwili na kitokee kitu kwenye maisha ya mtu.
Aposto kuna muujiza huku?Mmh mpaka wanaume mnamshabikia mwamposa?
Mbona matusi tena bob? Mods eeh...fanyeni Kazi yenu bana!!!Wewe ni chizi au chawa wa watu wa miujiza
Nimesema ukweli, ila kama umekwazika samahani mkuu kwani sina lengo la kukukwazaMbona matusi tena bob? Mods eeh...fanyeni Kazi yenu bana!!!
Sema " AYAYAYA"Nimesema ukweli, ila kama umekwazika samahani mkuu kwani sina lengo la kukukwaza
Hapo ni mwalimu wa injili vs tapeli la kula pesa za kinamama,hilo kanisa lake n mengineo ya mwendo kasi sijawahi kuona tajiri akitolewa mapepo au kuangukaHahahahahah Mwakasege bana.....
Huyu jamaa ana wivu sana na Mwamposa.....anatabia ya kung'ata na kupuliza.....I mean...anapenda kumponda Mwamposa kwà waumini wake kisirisiri......afu akimaliza anawaomba sadaka.
Kuna siku nilimsikia akisema...siku akitoa somo la birthdaycake..watu watashangaa sana....akasema ni mambo ya giza na ya ajabu sana...afu baada ya hapo akachomekea...watoe sadaka....nikabadiri kabisa na chanel yake...
Hivi mnapata nini kuchonganisha waumini? Mbona Mwamposa huwa hawasemi vibaya kama mnavyomsema?
Sema nini....sio case...Mwamposa anaupiga mwingi sana...mtasubiri saaaaana!!!
Kama mmenielewa semeni ..." AYAYAYA!!!!"
Wanaume wajinga ndiyo wanashabikia huo upuuzi,Mmh mpaka wanaume mnamshabikia mwamposa?
Mtume yupo mbezi beach anakula chipsi sio uhuni huo! Mawakala wa ibilisi wa level hiyo huwezi mfananisha na mwakasege kwanza hawafanani na HATA HUDUMA ZAO HAZIFANANIWengi waliosema Mwamposa ni freemason , walirudi na kuomba msamaha.
Mwalimu wa SHERIA au sio? Kama wale viongozi wa dini waliowaconvis waumini waseme YESU asurubiwe......#Teachers of the Laws.....ambao walikua hawajui hata kuzaliwa mara ya pili maana yake nini....Mwakasege ni Mwalimu, mkweli, na mtu wa dini. Huyo mwingine ni tapeli tu kama matapeli wengine
Hivyo siwezi sema maana sijui inamaanisha nini, nisije sema hivyo then kesho nikajikuta na mimi akili zimehama na kujikuta niko hapo kanisani kwenuSema " AYAYAYA"
AYAYAYAHivyo siwezi sema maana sijui inamaanisha nini, nisije sema hivyo then kesho nikajikuta na mimi akili zimehama na kujikuta niko hapi kanisani kwenu