MWL MTZ
Member
- Aug 12, 2011
- 39
- 2
HUKU MTAANI KWETU TUMECHOSHWA NA WEZI WA SIMU, hii imetokea ja na trh 11/11/2011 morogoro kata ya kichangani mtaa area six ninja baada ya kijana mmoja anayesemekana ni mkazi wa kata ya kilakala mjini hapa baada ya kumpola mama moja simu yake ila wananchi walifanikiwa kumkamata na kumpa kichapo hevi kilichotokea sijui! picha izo hapooooooooooooooo