Mag3 Platinum Member May 31, 2008 13,064 22,757 Oct 2, 2011 #1 Ni mapinduzi tu yatawatoa hawa mafisadi madarakani Watanzania tuamke wakati ni sasa !
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Oct 2, 2011 #3 helcopta kibao igunga wakati meli ya zanzibar imezama hadi chini hakuna msaaada wowote ..wanasiasa bana(ccm)
helcopta kibao igunga wakati meli ya zanzibar imezama hadi chini hakuna msaaada wowote ..wanasiasa bana(ccm)
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,642 Oct 2, 2011 #4 aahhh kumbe ndo huyo KAVIRONDO
M mwacheni77 JF-Expert Member Apr 11, 2011 763 209 Oct 3, 2011 #7 Nampa heshima yake kimtindo,aliiba kilichozidi,alisimamisha uchumi wetu kimtindo,sukari kipindi chake haikuwa issue ya kuumiza kichwa watu,big up ben,alikuwa na maamuzi magumu aliyasimamia,samehe 7*70
Nampa heshima yake kimtindo,aliiba kilichozidi,alisimamisha uchumi wetu kimtindo,sukari kipindi chake haikuwa issue ya kuumiza kichwa watu,big up ben,alikuwa na maamuzi magumu aliyasimamia,samehe 7*70
Mzee JF-Expert Member Feb 2, 2011 13,597 5,788 Oct 3, 2011 #8 Nakumbuka matusi yake pale Jangwani. Mwizi aliyebobea huyo.
Sajenti JF-Expert Member Apr 24, 2008 3,651 412 Oct 3, 2011 #10 Mzee said: Nakumbuka matusi yake pale Jangwani. Mwizi aliyebobea huyo. Click to expand... ...Hivi huyu si ndio alitukana siku moja kuwa kuna watu wana wivu wa kike?
Mzee said: Nakumbuka matusi yake pale Jangwani. Mwizi aliyebobea huyo. Click to expand... ...Hivi huyu si ndio alitukana siku moja kuwa kuna watu wana wivu wa kike?