Mwizi mwizi tu hata kama anatembelea magongo, atatetea mfumo wa kifisadi uliomtajirisha!

Mag3

Platinum Member
May 31, 2008
13,037
22,728
Ni mapinduzi tu
yatawatoa hawa mafisadi madarakani
Watanzania tuamke
wakati ni sasa !


10_11_h55574.jpg

 
helcopta kibao igunga wakati meli ya zanzibar imezama hadi chini hakuna msaaada wowote ..wanasiasa bana(ccm)
 
Nampa heshima yake kimtindo,aliiba kilichozidi,alisimamisha uchumi wetu kimtindo,sukari kipindi chake haikuwa issue ya kuumiza kichwa watu,big up ben,alikuwa na maamuzi magumu aliyasimamia,samehe 7*70
 
Nakumbuka matusi yake pale Jangwani. Mwizi aliyebobea huyo.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom