Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Ni maeneo ya hall 1
amekamatwa ananyemelea chumba cha wasichana..akawatishi kuwapiga..akakimbiza hadi kukamatwa
kapewa kipigo yuko hoi..polisi wamekuja lakini bado hawajamtoa chuoni
amekamatwa ananyemelea chumba cha wasichana..akawatishi kuwapiga..akakimbiza hadi kukamatwa
kapewa kipigo yuko hoi..polisi wamekuja lakini bado hawajamtoa chuoni