Hata TZ hii kitu ipo kwa sasa. Wanawake ni wezi sana hasa katika public places, mikutanoni, sokoni, super markets, masoko ya mitumba, maonesho mbalimbali, n.k. wanakuwa wamevalia baibui/kininja!!
Nashangaa wanaoshangaa mwanamke kukamatwa sababu ya wizi,hivi dunia hii kwa sasa ina kiumbe mwizi kumzidi mwanamke.Tatizo mnaoibiwa huwa wala hamuhisi kuwa mnaibiwa.Ila kwa sisi tunawaita MAJAMBAZI WA HIARI,hakukabi wala kukushikia bunduki unatoa mwenyewe kwa hiyari yako..