Huo ni uzuzu wa sheria. Kumbuka kesi ya akina Zombe nani ndiye alikuwa muuaji. Kuna aliyeua, waliamrisha mauaji, walioshiriki mauaji na waliohusika na mauaji. Sasa Mwita amehusikaje?
Hata ukiamrisha tu kuuwa au kufanya uchochezi na kifo kikitokea basi unahusika na uuaji moja kwa moja.