funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,535
- 31,199
Mzee huyu kwa miaka mingi aliweza kuchanga karata zake vizuri kwa kuuma na kupuliza lakini mwaka huu baada ya kuuma amebanwa pumzi na hivyo basi anashindwa kupuliza.
Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.
Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.
HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!
Hili ni funzo kubwa sana kwa wote wanaoishi kwa unafiki.
Pole sana kwa Mengi kwani mwisho wa unafiki ni mwaka huu...uliyemkataa kuwa rais wa JMT ndio anaapishwa leo.
HATA KAMA NI VIPOFU NITAWAONESHA TU!