Hivi nyie viwavi wa cdm mambo ya ccm yanawahusu nini kaeni muandae mikakati ya kukuza chama chenu achaneni na ccm kabisa
mnayaleta wenyewe kwenye media... Mli2mwa.
Hivi nyie viwavi wa cdm mambo ya ccm yanawahusu nini kaeni muandae mikakati ya kukuza chama chenu achaneni na ccm kabisa
Hivi nyie viwavi wa cdm mambo ya ccm yanawahusu nini kaeni muandae mikakati ya kukuza chama chenu achaneni na ccm kabisa
mie huwa siwaamini hata wakinisalimia inawezekana hata salamu zao ni mashaka kashaka inabidi umuulize unanisalimia mimi kweli?Jambo lolote analokuambia mtu wa CCM litilie mashaka.Hata akikuambia yeye ni CCM tia mashaka.
Baada ya kumalizika mdahalo wa uloandaliwa na Kigoda cha mwalimu Nyerere kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Nyerere mh sendeka alipata nafasi ya kuongea na wanafunzi na wananchi mbalimbal, ambapo alibanwa na maswali kadha wa kadha na wananchi hao ajitahidi kuyajibu kwa ufasaha lakini kubwa nililopenda ni lile la kuhusu mapacha wawili walobakia.
Mh Sendeka alijibu kwa kujiamini kwamba kikao kijacho cha NEC ndiyo mwisho wao hivyo wananchi wasiwe na mashaka:
whats is wrong with mapacha watatu in ccm perspective?
RA hajaondoka kwa sababu ni gamba bali siasa uchwara ndani ya ccm ndo maana kwenye kampeni za igunga aliitwa kusaidia siasa hizohzo uchwara ndani ya magamba.Magamba wameponea chupuchupu huko igunga wakinunua kila kura kwa takriban sh 115000/=.Sa HV WANAOMBEA AC,EL AU MBUNGE YEYOTE ASIFARIKI kwa sababu kushndwa kunawaogopesha
whats is wrong with mapacha watatu in ccm perspective?
RA hajaondoka kwa sababu ni gamba bali siasa uchwara ndani ya ccm ndo maana kwenye kampeni za igunga aliitwa kusaidia siasa hizohzo uchwara ndani ya magamba.Magamba wameponea chupuchupu huko igunga wakinunua kila kura kwa takriban sh 115000/=.Sa HV WANAOMBEA AC,EL AU MBUNGE YEYOTE ASIFARIKI kwa sababu kushndwa kunawaogopesha
Dolechuma, Ole Sendeka anajifariji kwa kujisemea, CCM haina ubavu wa kumvua gamba EL kwa vile yeye ndie kobe mwenyewe!. Subiri tuone.Baada ya kumalizika mdahalo wa uloandaliwa na Kigoda cha mwalimu Nyerere kuadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Nyerere mh sendeka alipata nafasi ya kuongea na wanafunzi na wananchi mbalimbal, ambapo alibanwa na maswali kadha wa kadha na wananchi hao ajitahidi kuyajibu kwa ufasaha lakini kubwa nililopenda ni lile la kuhusu mapacha wawili walobakia.
Mh Sendeka alijibu kwa kujiamini kwamba kikao kijacho cha NEC ndiyo mwisho wao hivyo wananchi wasiwe na mashaka: