Wakuu , si lazima ununue "king'amuzi" , unaweza ukatumia dish na decoder kama ambavyo watu wa mikoani walivyokuwa
wanafanya siku za nyuma ili kupata station mbalimbali kama StarTV ,EATV , CH10 na kadhalika ambazo zilikuwa hazijafika
huko .
Kwa hiyo cha muhimu ni kuipigia kelele serikali ikakikishe gharama za hivi vifaa ni affordable kwa mtz yeyote mwenye uwezo wa kumiliki tv