Watu wanasema mwisho wa kulala ni 30-10-2010. RFA alfajiri hii wanasema majina yamebanduliwa Shinyanga. Fuatilieni udhalimu huu. Huku haya yakiendelea Prof. Lipumba amwunga mkono Dr. Slaa.
Kila mtu anawajibu wa kutimiza; mpiga kura kupiga na kulinda kura (safiri uende kupiga kura hata kama ni mbali vipi), mawakala kupata ujasiri na kutowasaliti wa Tanzania kwa gharama yeyote, askari wapendwa kujua kuwa nguvu ya wananchi haizuiliwi kwa risasi wala maji ya kuwasha, asiye na kadi ya kupiga kura au ambaye umri wake haujafika alinde nyumba za wapiga kura. Baada ya matokeo tushangilie kwa amani.
MUNGU BARIKI TANZANIA, AFRIKA NA WOTE WAKAAO HUMO.
Kila mtu anawajibu wa kutimiza; mpiga kura kupiga na kulinda kura (safiri uende kupiga kura hata kama ni mbali vipi), mawakala kupata ujasiri na kutowasaliti wa Tanzania kwa gharama yeyote, askari wapendwa kujua kuwa nguvu ya wananchi haizuiliwi kwa risasi wala maji ya kuwasha, asiye na kadi ya kupiga kura au ambaye umri wake haujafika alinde nyumba za wapiga kura. Baada ya matokeo tushangilie kwa amani.
MUNGU BARIKI TANZANIA, AFRIKA NA WOTE WAKAAO HUMO.