barikiwa
Senior Member
- Dec 4, 2018
- 145
- 263
Mungu waliotuumba sisi hata wao walishapitia maisha Kama yetu, baadaye wakaendelea kiufahamu wakapiga hatua mbele wakasema tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu ndipo Sasa binadamu akaumbwa.
Dunia imeenda Kasi Sana Sasa Ni muda wa sisi kuhama katika mfumo huu wa maisha 3D, na kua advance mfano Eliens.
Maisha ya roho zetu kiasili Ni ya umilele, baada ya mwili kufa roho aidha irudi ilipotoka au itafute mwili mwingine ili iendelee kuishi duniani.
Miili mipya kwa ajili yetu imeshakamilika, mliyokuwa mnaita Mwisho wa Dunia, siku ya kiama etc. Inakuja muda wowote.
Dunia imeenda Kasi Sana Sasa Ni muda wa sisi kuhama katika mfumo huu wa maisha 3D, na kua advance mfano Eliens.
Maisha ya roho zetu kiasili Ni ya umilele, baada ya mwili kufa roho aidha irudi ilipotoka au itafute mwili mwingine ili iendelee kuishi duniani.
Miili mipya kwa ajili yetu imeshakamilika, mliyokuwa mnaita Mwisho wa Dunia, siku ya kiama etc. Inakuja muda wowote.