Mwisho wa dunia.

Nabii Daniel alimweleza Mfalme wa Babel Nebukadnezza, kwamba mwisho wa falme za dunia utatokea pale jiwe ambalo halikuchongwa kwa mkono wa mwanadamu litakapozipondaponda hizo falme. yawezekana Daniel alitumia lugha ya picha, au ni jiwe kweli.
Hayo mawe yapo, na si lazima liwe kubwa kama sayari.
Lakini hilo jiwe halitafika mpaka kwanza dunia impate mtawala aitwaye Chukizo la Uharibifu, mfalme wa kaskazini

Mkuu Waridi, nadhani jiwe aliloongelea Nabii Danieli kwa Mfalme Nebukadneza ni Jiwe lisilofanywa kwa mkono wa mwanadamu(kama ulivyoeleza vyema) na ilikuwa ni lugha ya picha pointing to Rock of Ages(YESU Kristo mwenyewe) mara baada ya Tawala(Falme) kuu nne kupita.
 
Last edited by a moderator:
Nikweli kuna asteroid(kimondo kikubwa)inasemekana kuliko dunia hii.kikiangukia dunia mambo yafuatayo yaweza tokea:-
1.dunia kuripuka kama bomu.
2.dunia kuhama kutoka kwa muhimili wake na kupeoteza nguvu za uvutano.
3.kikidondokea baharini huenda dunia ikakumbwa na mafuriko makubwa kuwahi kutokea(dhoruba kuu).
Kwa mambo hayo ndio utakua mwisho wa dunia.
 
th
Kama patatokea jiwe au Kimondo kutoka sayari ingine yote ni kufikirika


th
kama Dunia yetu italipuka kwa Joto yote ni kufikirika

K
th
Kama kutatokea vumbi na mioto ya ajabu kuiunguza Dunia kubaki majivu yote kufikirika

th
kama itaunguzwa na jua kwa sababu ya kulisogelea Jua yote ni kufikirika

th
Ila imeandikwa katrika vitabu vyote kuna Binadamu atakayekuja ni YESU (ISSA BIN MARIAM) lakini haitakuwa Mwisho wa DUNIA kwa hiyo usiPANIC hakuna ajuaye ila ni
avatar59416_6.gif
KIFO CHAKO DOGO Deejay nasmile usisahau KUBOFYA HAPA http://www.endofworld.net/
 
Back
Top Bottom