Omseza Mkulu
Member
- Jun 17, 2009
- 54
- 7
Madudu yote kwenye mikataba ya madini yote yana originate kwa Chenge.Chenge ni sehemu ya matatizo ya nchi hii.
Mmh huyu jamaa ni jinni sidhani kama litang'oka
no mkuu, chenge atatoka tu dunia washakuwepo mabedui chenge cha mtotoHata kwa nondo au risasi haiwezekani? Mbona anadunda mitaani kwetu na tunamwona( huyo jambazi na gaidi).Mbona tunawaua na kuwachoma moto vibaka tukiwaona?Mbona tunamwona na anatembea mitaani hatumwui na kumchoma moto?
Historia chafu ya Chenge(kibaka,fisadi , jambazi na roho mbaya):
1.Alishagonga na kuwauwa wanawake wawili na kuwauwa usiku wa manane akitoka kwenye starehe zake.Akaachiwa huru!
2.Ameshiriki kwenye ufisadi wa epa, radar nk
3.Ndiyo alikuwa kwenye kamati ya uandishi wa katiba ambayo imechakachuliwa kuja kuwalinda mafisadi
3.Sasa yuko kwenye Eskro
Tukitaka Tanzania iendelee kuishi watu kama hawa wanatakiwa kufutwa kwenye uso wa dunia kwa njia yoyote ile.I we ya kumroga au kumtupia jini, kumpiga nondo/mapanga au hata kwa risasi!
Kung'oka kwake itakuwa ngumu mpaka wananchi waamue mwakani au yeye akubali kukaa nje uchaguzi ujao
huyo ni fisadi hangoki
Huyo jamaa kule usukumani ukisimama nae humalizi wiki wanakuzika... Labda hatashiriki kwenye dili haramu tu ila ubunge tusahau
Hakuna kinachomshinda Mungu na kila lenye mwanzo halikosi mwisho! !!labda ndani ya ccm yao huko...
Na huu ndo mwanzo wa mwisho wake mkuu....
Mi naamini hajapatikana mtu ambae yupo serious huko....
Kwani mtera kwa Malecela ilikuwaje!!?
Unajua chenge ni mfumo. Yupo ndani ya mfumo fisidi ambao ni kikundi kikubwa ambacho kina mikakati ya kuendelea kula. Na sasa wapo kwenye gesi. Watakwenda kwenye mafuta. Kila idara wanakula. Wana mtandao mpana sana. Kuwamaliza si kazi rahisi kihivyo. Walijenga mtandao mpana sana. Wakati change ni ag aliweka mazingira ya maswaiba wake kushika nafasi nyeti. Ag alikuwa yeye MTU wa shinyanga. DCI ndugu yake wa huko. Maadili ya viongozi pia MTU wa huko huko.PCCb pia MTU wa huko. Na hata baadaye DPP alitoka huyo. Acha wafanyakazi wadogo na watu kwenye system ambao aliwagroom. Wametengeneza sana mfumo wa ufisadi. Baba yao ni mmakuwa. Vyovyote vile ili kumfuta huyu jamaa lazima kukiondoq chama chake kwanza.
they say charity begins at home,Chenge ni mtaalamu aliyebobea kwenye sheria na siasa hivyo ukimwona wa kazi gani duniani wanasema watampata lini.
Watu wa jinsi hii wako wengi katika nchi hii................ wanaofahamika ni hawa wachachetu laiti ingekuwa nchi za wenzetu kama China Urusi hawa ni wakupigwa risasi hadharani
Huyo jamaa kule usukumani ukisimama nae humalizi wiki wanakuzika... Labda hatashiriki kwenye dili haramu tu ila ubunge tusahau
Nawaambia hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho!
Pamoja na yote aliyofanya...unafikiri aliwahi tegemea km anaweza ht kupigwa chini huo uenyekiti? !
Niwaambie tu Ukweli ni kwamba wanatumia sn nguvuza giza kwa kutoa makafara!
Bt pia kuna watu wanaiombea sana hii nchi na ndo maana mambo yanazidi kuharibika cku hadi siku so ht km huo mtandao ni mpana kiasi gani wataondoka tu.
Watanzania wenzangu,
kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho,Chenge ambaye kwa sasa ni Mbunge na Mwenyeketi wa kamati ya Uandishi wa Katiba mpya mwisho wake hakika hakika unakaribia kuliko jinsi tunavyoamini
huyu mtu amekuwa kwenye system kwa miaka mingi na tukumbuke ni mmoja wa wasomi wachache wa taifa letu waliosoma harvard university
yaliyotokea mwisho wa week hii ndiyo chanzo cha kumalizika kabisa kwa fisadi huyu msomi ambaye katu hakuelimika na elimu yake
Chenge amen'golewa na nguvu ya maskini walewale aliokuwa akiwadharau siku zote,maazimio ya bunge yakisimamiwa na viongozi wetu tuliowatuma Bungeni yamesababisha kummaliza rasmi fisadi nguli Chenge,kwa taarifa tu ni kwamba Chenge ndiyo ametolewa rasmi kwenye system hii mbovu ambayo ni wajibu wetu watanzania wote kuitengeneza upya,fedha zote alizopata baada ya kuwasaidia wazungu ili watutapeli kwenye manunuzi ya rada zimefikia mwisho wake rasmi,fedha zote alizopata kwenye Escrow zinafikia mwisho wake,Kamwe Chenge hatarudi kwenye system hii milele na milele na kamwe hawezi kushinda ubunge tena na atakuwa mitaani na wana system wenzake watamgeuka na ATAVUNA ALICHOPANDA!
kilichobaki sasa hivi kwa Watanzania ni kuendelea kupambana kwa kutumia viongozi wetu na huku tukiwaombea na kuchangia vyama vyetu kwa nguvu zote ili tuweze kuendelea kuivunja system kidogo kidogo kwani system imeharibika mno kiasi kwamba tukisema ni ku offload once tutasababisha vita ya maangamizi kwenye taifa letu,
nimetoka kanisani na tumemshukuru Mungu kwa hapa tulipofika soo far,
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA VIONGOZI WAAMINIFU,AMEN!
huyo inabidi atoke kbsa serikalini,lbda atabaki kwa ubunge tu.