Mwingine tena akamatwa na madawa mchana huu kaweka kwenye Johnson Powder

tujaribu??inaitaji uvumilivu hata ukikamatwa akuna kutajana ok??
Wengi wanaipenda hapo kutajana ndio wanaposhindwa zaidi na tatizo kwao sio kupitisha ni kupata alie sahihi akifa anakufa kama salehe kama ojo kama aggy ngumu!!!
Wateja ni kina nani sasa Pdidy? Soko ni kina nani hasa wenye hela hao mpaka watu wanatake risk kiasi hiki?
 
Last edited by a moderator:
wateja ni kina nani sasa pdidy? Soko ni kina nani hasa wenye hela hao mpaka watu wanatake risk kiasi hiki?

soko huri mpwa wangu
wewe tu ujue kulinda siri ya wazee ndio maana siku mzee wetu mwakyembe alionge kiswahili kizuri alipofika hapa akaana

"""hiv tule tudawa tweupe twa kulevya twunaokamwatwa kamatwa twunaendaga wapi jamani"" akupenda kutumia twu aliweka kwa kujihami hata wakumbana uraiani atasema alisema twudawa sio dawa
twa kulevya sio ya kulevya"
"""
 
ANTHONIA OJO AKIWASILI KITUO CHA POLISI CHA JNIA BAADA KUKAMATWA.





3.jpg


ANTHONIA OJO AKIELEKEA KWENYE GARI BAADA YA KUKAMATWA


PASPORT YAKE


HILO NDO BEGI MADAWA HAYO YALIKUWEMO




AKIZITOA KWENYE MIKEBE YA POWDER NA SHAMPOO


SEHEMU YA KETE 99 ALIZOKAMATWA NAZO.


HUYO NDO ANTHONIA OJO AKIWA KITUO CHA POLISI


MADAWA HAYO YAKIRUDISHWA KWENYE VYOMBO BAADA YA KUONESHWA KWA WANAHABARI.


RECORD ZA ANTHONIA ALIWAHI KUJA TENA MWAKA 2011
Anthonia Ojo (25) Raia wa Nigeria akiwa na kete 99 za madawa ya kulevya baada ya kukamatwa kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam jana, akieleke Roma Italia kupitia Paris Ufaransa kwa ndege ya Ethiopian Airways. Msichana huyo aliingia hapa nchini Agosti 30 akitokea Nigeria. Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Viwanja vya Ndege, Renatus Chalya, Ojo anaendelea kubaki chini ya ulinzi wa polisi kwa uchunguzi zaidi, wakati madawa hayo yamepelekwa kwa ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali ili kubaini aina ya dawa hizo, thamani yake na hatimaye atafikisha mahakamani.
 
Hongera kwa maaskari wanaoendeleza harakati za kupambana na madawa ya kulevya
 
Hata mimi najiuliza Ablessed wateja ni kina nani? Maana inaonekana biashara inalipa hasa sio bure.
Ngugu yangu mimi na wewe nadhani hatujui ni namna gani biashara hii inafanywa na hasa wateja wakuu ni kina nani. Nikichukulia mfano wauza gongo mbona wateja wao ni dizaini hii hii ya mateja cha ajabu ni kwamba biashara ya gongo haimtoi mtu.
 
Wengi hutumia majina bandia na passport bandia wanapokuwa ktk ishu kama hizo, ndo maana hapo unaona zee zima na wajukuu lkn linasema lina miaka 25. Ni rahisi kuwashtukia, ila basi tu JNIA waliteka
 
watawakamata wenye vikete vichache, wenye mizigo ya nguvu hawakamatwi hapoJKNIA.
 
Back
Top Bottom