nimelipenda sana hili gauni,daah!
Mama na mtoto.
Ona sasa umejichanganya Tapeli.{Ndugu habari?Naitwa JESCA MWITA toka kampuni ya PLATENUM kitengo cha MIKOPO kwa watumishi wa serikali na makampuni yaliyosajiriwa,napenda kukujulisha uwa tunatoa MKOPO wa pesa taslimu ndani ya masaa 24 kwa watanzania wote!!nipigie kwa 0742-236039 Nitakuhudumia kwa haraka pia wajulishe na wengine!!}
Hahahahaha umempa za usoOna sasa umejichanganya Tapeli.
Badilisha ID then uje kwa style nyingine .
Hahaa Jamani kweli nimejichanganya bcs sikuwa na makusudi ya kukupostia hiyo information but nilikosea tu,plz forgive me .eti mkopo unambwato wewe!benk zenywe hazina hela wewe uwe nazo
Ona sasa umejichanganya Tapeli.
Badilisha ID then uje kwa style nyingine .
Tulishafika Mkuu! Kama wewe bado unaelekea shauri yako!Dah uku tunapoelekea jmn
Kwaiyo mko wap saiv nami niwafate chapTulishafika Mkuu! Kama wewe bado unaelekea shauri yako!
Tupo Ukonga getini tunasubiri afande atufungulie kwan mkuu alikuwa anacheki mazingira leoKwaiyo mko wap saiv nami niwafate chap
Tupo Ukonga getini tunasubiri afande atufungulie kwan mkuu alikuwa anacheki mazingira leo
Kweli mmeisoma namba hadi unachanganya madawa huu uzi na mikopo wapi na wapi{Ndugu habari?Naitwa JESCA MWITA toka kampuni ya PLATENUM kitengo cha MIKOPO kwa watumishi wa serikali na makampuni yaliyosajiriwa,napenda kukujulisha uwa tunatoa MKOPO wa pesa taslimu ndani ya masaa 24 kwa watanzania wote!!nipigie kwa 0742-236039 Nitakuhudumia kwa haraka pia wajulishe na wengine!!}