Mwimbaji wa ToT Mariam Khamis afariki dunia

Mwimbaji wa ToT Mariam Khamis afariki dunia

Mphamvu

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
10,702
Reaction score
3,345
Msanii wa taarab nchini Tanzania wa kundi la TOT plus, Mariam Khamis maarufu kama paka mapepe amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam mara tu baada ya kujifungua . Mariam Khamis umauti umemkumba
akiwa anaimba kundi la TOT plus lakini enzi za uhai wake aliwahi kuimbia katika makund mbalimbali ya taarab likiwemo East Africa Melody, Zanzibar Stars na 5 Stars. Khamis Muhidini Shomary baba wa marehemu amesema mipango ya
mazishi inaendelea kufanyika ambapo anatarajiwa kuzikwa hapo kesho Magomeni Kota jijini Dar es Salaam.
Chanzo: EA Radio
 
rip....wazazi wanakufa kwa uzembe wa madaktari
 
RIP-Ila tusisahau pia vifo vingi vya wadada wajawazito husababishwa na kutumiwa huu mtandao wa 0714. Misuli ya kumsukuma mtoto inakufa, wanabaki kujamba, kuyamwaga NK. Wakunga kama awanauzoefu wa kuweka pamba za kutosha, tunawapoteza wapendwa wetu wengi.
 
Msanii wa taarab nchini Tanzania wa kundi la TOT plus, Mariam Khamis maarufu kama paka mapepe amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam mara tu baada ya kujifungua . Mariam Khamis umauti umemkumba
akiwa anaimba kundi la TOT plus lakini enzi za uhai wake aliwahi kuimbia katika makund mbalimbali ya taarab likiwemo East Africa Melody, Zanzibar Stars na 5 Stars. Khamis Muhidini Shomary baba wa marehemu amesema mipango ya
mazishi inaendelea kufanyika ambapo anatarajiwa kuzikwa hapo kesho Magomeni Kota jijini Dar es Salaam.
Chanzo: EA Radio

Ni huyu?

Mariam+Abud.JPG


3.JPG
 
RIP-Ila tusisahau pia vifo vingi vya wadada wajawazito husababishwa na kutumiwa huu mtandao wa 0714. Misuli ya kumsukuma mtoto inakufa, wanabaki kujamba, kuyamwaga NK. Wakunga kama awanauzoefu wa kuweka pamba za kutosha, tunawapoteza wapendwa wetu wengi.
unamjua Mariam nn maana ngoja tunyamaze....kalale salama Mariama tutakukumbuka kwa sauti yako mpendwa!
 
ooooh maskini RIP Mariam

Mijitu mingine banaaa eti mtandao!!!! basi waarab wangekufa kila leo!!!
 
RIP Mariam, Poleni sana familia
Huu uzazi wa miaka hii jamani tabu sana
 
Na we koma kama huko kutumia huo mtandao mwingine wazungu ndio kazi yao kwa nini mnawasingizia waarabu jamani hebu muogopeni mungu waarabu hiyo kitu hawaipendi asilani wakati hao wazungu wenu ndio mchezo wao.


ooooh maskini RIP Mariam

Mijitu mingine banaaa eti mtandao!!!! basi waarab wangekufa kila leo!!!
 
Mmoja wa waimbaji waliokuwa na sauti nzuri sana. Kuna wimbo aliimba na Hammer Q unaitwa 'embe dodo'....mdada alikuwa kajaaliwa sauti nzuri kwa kweli.

Pumzika kwa amani Mariam.
 
Msanii wa taarab nchini Tanzania wa kundi la TOT plus, Mariam Khamis maarufu kama paka mapepe amefariki dunia usiku wa jana kuamkia leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam mara tu baada ya kujifungua . Mariam Khamis umauti umemkumba
akiwa anaimba kundi la TOT plus lakini enzi za uhai wake aliwahi kuimbia katika makund mbalimbali ya taarab likiwemo East Africa Melody, Zanzibar Stars na 5 Stars. Khamis Muhidini Shomary baba wa marehemu amesema mipango ya
mazishi inaendelea kufanyika ambapo anatarajiwa kuzikwa hapo kesho Magomeni Kota jijini Dar es Salaam.
Chanzo: EA Radio


..............R I. P. Mariam...............Pole sana kwa familia........ uzembe wa madaktari na wauguzi tunaupiga vita....
 
Na we koma kama huko kutumia huo mtandao mwingine wazungu ndio kazi yao kwa nini mnawasingizia waarabu jamani hebu muogopeni mungu waarabu hiyo kitu hawaipendi asilani wakati hao wazungu wenu ndio mchezo wao.

Naona udini unataka kushika hatamu hapa...
 
Nimekoma!


Na we koma kama huko kutumia huo mtandao mwingine wazungu ndio kazi yao kwa nini mnawasingizia waarabu jamani hebu muogopeni mungu waarabu hiyo kitu hawaipendi asilani wakati hao wazungu wenu ndio mchezo wao.
 
RIP-Ila tusisahau pia vifo vingi vya wadada wajawazito husababishwa na kutumiwa huu mtandao wa 0714. Misuli ya kumsukuma mtoto inakufa, wanabaki kujamba, kuyamwaga NK. Wakunga kama awanauzoefu wa kuweka pamba za kutosha, tunawapoteza wapendwa wetu wengi.

Are you stupid or what?
Kwa hiyo hata mama yako akifa wakati anajifungua its because she was using 0714 withh your father?
Mbona unakuwa sio mstaarabu mkuu?
Serious umekosa ustaarabu na mbaya zaidi hujajijua bado kuwa umekosa ustaarabu
 
RIP....
Sasa kafa huku wenzie wanaendelea kulisakata taarabu dodoma? Ama kweli ukishakufa umekufa.....
 
Naona wanaJF mnabishana sana. Sababu za kifo wakat wa kujifungua kwa baadh ya wasanii au watu maarufu nchin, 1.Kuchelewa kufika vituo afya 2.Kuchagua madaktar wao bila kujal yupo ktk hal gan 3.Kutoa ushirikiano mdogo kwa watoa huduma (kudeka) 4.Matumiz ya 0713 4.Kuwa na mawazo mengi kuhusu uamuz wa kuzaa na m2 flan, yan kutojiamin ktk uhusiano. 5.Utumiaji wa kemikal nyingi eg vyakula, urembo eg dawa michina n.k 6.Na mengine ya kawaida. Ni kwa uzoefu wangu wa kiutumish, toa wakwako kama unajua. R.I.P, POLEN NDG JAMAA NA MARAFIKI
 
Hapana ila maternal death Muhimbili? inauma sana tena sana
 
Back
Top Bottom