Mwili wa Mwanamke waokotwa Coco Beach

Mwili wa Mwanamke waokotwa Coco Beach

Muafaka wa pa1 aliousema polepole kwa sasa unahitajika saaana utu unaisha kwa kasi saaaaana ukipelekewa na utofauti wa itikadi zetu za vyama
Ingawa comment yako ni valid overall, lakini ni premature at this given instance..., hatujui chanzo wala sababu...
 
Haya mambo ya mtu kukutwa ameuwawa na kutupwa sehemu,mwisho wake yatazoweleka na kuonekana ni jambo la kawaida tu,

Na hapo ndipo itakapokua ni hatari zaidi,

Pia watuhumiwa wanapokua hawapatikani au kukamatwa,huwafanya na watu wengine kuingia kwenye huu uhalifu,hii ni hatari sana kwa kila mtu.
 
Haya mambo ya mtu kukutwa ameuwawa na kutupwa sehemu,mwisho wake yatazoweleka na kuonekana ni jambo la kawaida tu,

Na hapo ndipo itakapokua ni hatari zaidi,

Pia watuhumiwa wanapokua hawapatikani au kukamatwa,huwafanya na watu wengine kuingia kwenye huu uhalifu,hii ni hatari sana kwa kila mtu.
Tunaelkea kuwa kama latin America
 
Daaa safari ndefu sanaa huyu nar ni Jack Mafwele...
 
Haya mambo ya mtu kukutwa ameuwawa na kutupwa sehemu,mwisho wake yatazoweleka na kuonekana ni jambo la kawaida tu,

Na hapo ndipo itakapokua ni hatari zaidi,

Pia watuhumiwa wanapokua hawapatikani au kukamatwa,huwafanya na watu wengine kuingia kwenye huu uhalifu,hii ni hatari sana kwa kila mtu.
Umeongea ukweli kabisaa,
 
Back
Top Bottom