Mwili wa kada wa CCM aliyepotea waokotwa Njombe

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Jeshi la Polisi mkoani Njombe limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa, Emmanuel Polycarp Mlelwa aliyekuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Hamisi Issa ameiambia TBC kuwa jeshi la polisi mkoani humo linaendelea na uchunguzi na litaendele kutoa taarifa kuhusiana na tukio hilo.

Mlelwa alikuwa mwenyekiti wa seneti ya wananfunzi wa vyuo na vyuo vikuu wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa na mwili wake umekotwa katika eneo la Kibena Bwawani.

Mlelwa2.jpg
Mlelwa.jpg
 
Jeshi la Polisi mkoani Njombe limethibitisha kuokotwa kwa mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa, Emmanuel Polycarp Mlelwa aliyekuwa amepotea katika mazingira ya kutatanisha.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Njombe, Hamisi Issa ameiambia TBC kuwa jeshi la polisi mkoani humo linaendelea na uchunguzi na litaendele kutoa taarifa kuhusiana na tukio hilo.

Mlelwa alikuwa mwenyekiti wa seneti ya wananfunzi wa vyuo na vyuo vikuu wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa na mwili wake umekotwa katika eneo la Kibena Bwawani.
Hii mbona kitambo kashazikwa kabisa aise, ulikuwa dunia gani
 
Back
Top Bottom