Mwijaku: Tumeshamaliza uchaguzi, tuijenge nchi yetu na tusamehane

Mwijaku: Tumeshamaliza uchaguzi, tuijenge nchi yetu na tusamehane

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Huyu kichwa maji Mwijaku na huo upara wake kama ugali wa moto anaendelea kujibaraguza tu hapa! Yani anaendelea kutia hasira sana.

NDugu zangu uchaguzi umekwisha na sasa tuijenge nchi yetu najuwa tuna hasira, chuki, tunamaumivu ila tusamehane, Tulipokesea sisi mtusamehe na tuijenge nchi yetu Ilove Tanzania I love my people

 
Huyu kichwa maji Mwijaku na huo upara wake kama ugali wa moto anaendelea kujibaraguza tu hapa! Yani anaendelea kutia hasira sana.

NDugu zangu uchaguzi umekwisha na sasa tuijenge nchi yetu najuwa tuna hasira, chuki, tunamaumivu ila tusamehane, Tulipokesea sisi mtusamehe na tuijenge nchi yetu Ilove Tanzania I love my people

View attachment 3497319
Akawaambie hivi familia zilipoteza wapendwa wao. Tuone kama watamuelewa
 
Yaani kuwatakia heri ya kupona haraka na kuwatakia amani ya Milele Marehemu walofariki kwenye kadhia hii ameshindwa?
 
Tusameheane vipi?? Wasameheane raia wa kigeni/nchi jirani waliofanya maandamano nchini kwetu ambao mwisho wa siku walikula risasi za moto, sisi hatuna shida na ndugu zetu kina mwijaku wawe na amani kabisa.
 
Mabadiliko…katiba mpya inayosimamia haki na usalama kwa kila mtu no matter what , tume huru ya uchaguzi, mfumo vyombo vya usalama vya kulinda wananchi sio wanasiasa, jeshi etc katiba la sasa liliundwa kulinda CCM na wanasiasa wake
 
Tusameheane vipi?? Wasameheane raia wa kigeni/nchi jirani waliofanya maandamano nchini kwetu ambao mwisho wa siku walikula risasi za moto, sisi hatuna shida na ndugu zetu kina mwijaku wawe na amani kabisa.
Huu ufala mliolishwa na bi ushungi naona unafanya kazi
 
Msisahau uhalifu, wizi, uporaji, uharibifu wa Mali na uvunjifu wa amani hautavumilika!
 
Back
Top Bottom